Mad max: Naipenda sana hii movie

hii movie mi ckuielewa,,nliona inazingua tuu
 
hii movie mi ckuielewa,,nliona inazingua tuu
Mara ya kwanza siku penda pia nilikuwa nalalamika naangalia picha la mapepo maana watu wale zile rangi kam wamejipaka chaki
Kupigana hao wanakanyagana kisa maji ni wadhoofu nikaona kama yule ndiye shetani sasa
Nikaelezewa nilipo angalia mara ya pili niliipenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…