Kwani kuna ulazima wa kuweka mbolea za wanyama?mbolea tani moja ya kuku kupandia tani moja kurudishia yaani baada ya siku 20 kisha nitrobar na winer siku ya 35 kisha unarudia tena npk /nitrobar na can au winner siku ya 50
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio zina nguvu zaidi kuliko za binadamu na zinasaidia kusimamisha maji water retention capacity mbolea za dukani hazizuii porosity au pore spacesKwani kuna ulazima wa kuweka mbolea za wanyama?
i mean kuliko za kutengenezwa na binadamundio zina nguvu zaidi kuliko za binadamu na zinasaidia kusimamisha maji water retention capacity mbolea za dukani hazizuii porosity au pore spaces
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba namba zako mkuu nitakutafuta na mimi niko Arusha nna mpango wa kulima tikitiHabari,
Mimi ni graduate ktk fani ya IT, mwaka 2015, katika chuo kimoja wapo jijin Dar es Salaaam, nilihitimu chuo mwaka 2015 july, nikabahatika kuaply nafasi ya customer care katika moja ya kampuni jijin arusha kupitia zoom nikaipata hiyo nafasi, kwa kweli maisha yalienda sawa kwani walikuwa wana nipa 900k per month.
Niliona uzi wa kilimo cha tikiti maji kuwa kinalipa na mm nikaamua kujaribu kilimo hiko huku nikiwa kazini. Nilikodi shamba heka mbili kwa kila heka ni 100k, kulima heka moja ni 30k, kukata matuta ni 30k per heka, niliamua kulima heka mbili, na jana niliuza matikiti yangu shambani kwa bei ya 9M, nimeuza kwa kupima kwa kilo,
Nashukuru wana jamvi kwani ujuzi na ujasiri nimeupata humu humu jamii forum, nawashauri wanawake wenzangu tujaribu tunaweza, samahani kwa gazeti kama kuna niliyemkwaza haikuwa lengo langu
una busara, hakika umelelewa vema na wazazi wako. kongole kwako!Ukiona mtu mzima (sio mwenye akili timamu) anaanza kutumia matusi kwenye hoja zake, ujue ameishiwa hoja na hivyo kutumia matusi kama kinga (defensive mechanism)
Kuhusu soko, ulisema ulijua bei ingekuwa 3500/=@ kilo lakini baada ya mavuno ukakuta bei ni 150/=. Je, hiyo bei halisi uliyoikuta haikuwa ndiyo bei ya sokoni? Je, soko ni lipi na bei ni ipi? Kumbuka soko likifurika bidhaa (excessive supply) na mahitaji yakawa chini (less demand) bila shaka bei hushuka. Cha msingi, wakati mwingine, kama mazao yanaweza kutunzika na kusubiria msimu, basi yahifadhi. Ndio maana serikali inasisitiza uanzishwaji wa viwanda ili kwavyo tuweze kusindika mazao yetu.
Narudia kuwaomba kwamba ni vyema tukatiana moyo licha ya changamoto mbalimbali tunazopitia na kuzifanya kuwa fursa.
Kuhusu mama yangu, nitampa salamu zako!
naomba niwe rafiki yako 😉😉😉😉Habari,
Mimi ni graduate ktk fani ya IT, mwaka 2015, katika chuo kimoja wapo jijin Dar es Salaaam, nilihitimu chuo mwaka 2015 july, nikabahatika kuaply nafasi ya customer care katika moja ya kampuni jijin arusha kupitia zoom nikaipata hiyo nafasi, kwa kweli maisha yalienda sawa kwani walikuwa wana nipa 900k per month.
Niliona uzi wa kilimo cha tikiti maji kuwa kinalipa na mm nikaamua kujaribu kilimo hiko huku nikiwa kazini. Nilikodi shamba heka mbili kwa kila heka ni 100k, kulima heka moja ni 30k, kukata matuta ni 30k per heka, niliamua kulima heka mbili, na jana niliuza matikiti yangu shambani kwa bei ya 9M, nimeuza kwa kupima kwa kilo,
Nashukuru wana jamvi kwani ujuzi na ujasiri nimeupata humu humu jamii forum, nawashauri wanawake wenzangu tujaribu tunaweza, samahani kwa gazeti kama kuna niliyemkwaza haikuwa lengo langu
Angalia MJINI CHAI asije akakusikia! Mimi nilijaribu kumpongeza huyo bibie huyo bwana akanivurumishia mitusi mpaka nikatamani nikimbilie nymbani kwa JF!
Hata hivyo nashukru kwamba kuna watu wana hamu na utashi wa kufanya kazi hii ya kilimo! Wakati mwingine huwa najiuliza: tusingekuwa na wakulima, meza zetu za chakula zingekuwaje? Majiko yetu yangekuwaje? Afya zetu zingekuwaje? Nikifikiria hayo, huwa nabaki kuwaona wanaobeza kilimo kama mazezeta fulani (kama MJINI CHAI yupo asifikiri namsema yeye)!
Hana chochote huyo kilimo cha kwenye makaratasi tu hicho............!!! wengi walienda kulima wakaona ugumu wake wakaishia kuwashawishi watu wa Mjini washirikiane na kuweka faida kibaoooo..........walipowapa Pesa mbona walilia...........KULIMA MCHEZOOOOOOO...!!!!!!!!!!!!! Kusikie tu kwenye makaratasi..........
KUFELI KWAKO KWENYE JAMBO FULANI HAIMAANISHI WOTE WANAFANYA HIYO SHUGHULI PIA WATAFELI. KUFELI AU KUFANIKIWA NI SUBJECTIVE ISSUE NIKIWA NA MAANA KWAMBA HAKUNA FORMULA YA KUFANIKIWA AU KUFELI KWNYE JAMBO LOLOTE INATEGEMEA NA FACTORS NYINGI SANA.Mmewahi Kulima.......??? au Mnakunywa CHAI Mjini tuu.....? Mwaka wa Kwanza nililima CHOROKO Soko likadorora.....mwaka wa Pili nikaenda Mbinga nililima TANGAWIZI nilipata gunia 200 Soko likawa hakuna mpaka nikaweka Uzi humu JF......!!!! Nikageukia kulima MBAAZI Tuliambiwa zitakuwa na Soko Kg 1 itakuwa Tsh 3500/= Looooo imekula Kwangu kilo Tsh 150/= wanunuzi hakuna.......Nimerudi Town naangalia Upepo kwanza.................KILIMO siyo Mchezo kulima kwenye Makaratasi aaaaaaaaaaaaaaa mbona Powa sana na Faida utapata na utasema KAZI ndiyo hii..........!!!!!
Huna cha maana hapo..................swala hapa siyo kukata tamaa, uthubutu na mengineyo kama kuanza mradi taratibu/ kidogo kidogo.............no no no swala ni baada ya yote Soko la bithaa liko wapi.......? na ni la uhakika...........? kwani ukilima kidogo na ukikosa Soko utalima tena.........? huko ndiko tunakosema mnalima kwenye Makaratasi na bado mnakuwa wabishi.............!!!!!!!!! KUMBUKA KWENYE KILIMO HAKUNA KUJARIBU NI VITENDO TU.............Usinichoshe tena na maandishi yako yasiyo na mantiki............KUFELI KWAKO KWENYE JAMBO FULANI HAIMAANISHI WOTE WANAFANYA HIYO SHUGHULI PIA WATAFELI. KUFELI AU KUFANIKIWA NI SUBJECTIVE ISSUE NIKIWA NA MAANA KWAMBA HAKUNA FORMULA YA KUFANIKIWA AU KUFELI KWNYE JAMBO LOLOTE INATEGEMEA NA FACTORS NYINGI SANA.
KINGINE NI KWAMBA TAMAA ZETU ZA KUTAKA MAFANIKIO YA FASTA FASTA NDIO CHANZO CHA KUFELI KWA WENGI SI TU KWENYE KILIMO BALI PIA BIASHARA NA SHUGHULI NYINGINE. HAKUNA UTAJIRI HALALI WA HARAKA HARAKA HAPA DUNIANI. ANZA KIDOGO HUKU UNAJIFUNZA MBINU ZA HIYO BIASHARA AU KAZI NA KADRI UNAVYOPATA UZOEFU WA FURSA NA CHANGAMOTO ZA HIYO KAZI NDIVYO UNAZIDI KUPATA UZOEFU NA MBINU ZA KUKABILIANA NA HIZO CHANGAMOTO.
KWA VIJANA WA LEO WANAFDELI MAMBO MENGI SABABU MOJA WAPO IKIWA NI KUKURUPUKIA KUFANYA MAMBO BILA KUFANYA SURVEY NA ANALYSIS YA KWELI KUHUSU HILO JAMBO (HEAR SAY). PIA KUTOKUWA WAVUMILIVU WA KUANZA KIDOGO NA KUJIFUNZA ZAIDI JUU YA HIYO KAZI/BIASHRA MATOKEO YAKO NI KUUNGUZA MITAJI NA KUKATA TAMAA!
KWA HIYO UNATAKA NANI AKUTAFUTIE SOKO? HIVI UNAJUA MAANA YA KUFANYA RESEARCH NA ANALYSIS YA JAMBO? KAMA WEWE KILIMO HUWEZI KAA PEMBENI ACHIA WANAOWEZA! UNATAKA KUAMINISHA WATU KUWA KILIMO HAKIWEZEKANI KUFANYIKA KWA SABABU TU WEWE UMESHINDWA! HAYO NDIO MADHARA YA KUKURUPUKIA JAMBO KWA SABABU WENGINE WAMEKWAMBIA KWAMBA KITU HIKI KINALIPA NA WEWE UNAKURUPUKA TU. KITU KINAWEZA KULIPA KWA MWINGINE NA KWA MWINGINE KIKAFELEI!Huna cha maana hapo..................swala hapa siyo kukata tamaa, uthubutu na mengineyo kama kuanza mradi taratibu/ kidogo kidogo.............no no no swala ni baada ya yote Soko la bithaa liko wapi.......? na ni la uhakika...........? kwani ukilima kidogo na ukikosa Soko utalima tena.........? huko ndiko tunakosema mnalima kwenye Makaratasi na bado mnakuwa wabishi.............!!!!!!!!! KUMBUKA KWENYE KILIMO HAKUNA KUJARIBU NI VITENDO TU.............Usinichoshe tena na maandishi yako yasiyo na mantiki............
Dada angu Thamahan mm nngependa kujua changamoto ulizokumbana nazo ili hali wewe ukiwa mbali na uwekezaji wakoHabari,
Mimi ni graduate ktk fani ya IT, mwaka 2015, katika chuo kimoja wapo jijin Dar es Salaaam, nilihitimu chuo mwaka 2015 july, nikabahatika kuaply nafasi ya customer care katika moja ya kampuni jijin arusha kupitia zoom nikaipata hiyo nafasi, kwa kweli maisha yalienda sawa kwani walikuwa wana nipa 900k per month.
Niliona uzi wa kilimo cha tikiti maji kuwa kinalipa na mm nikaamua kujaribu kilimo hiko huku nikiwa kazini. Nilikodi shamba heka mbili kwa kila heka ni 100k, kulima heka moja ni 30k, kukata matuta ni 30k per heka, niliamua kulima heka mbili, na jana niliuza matikiti yangu shambani kwa bei ya 9M, nimeuza kwa kupima kwa kilo,
Nashukuru wana jamvi kwani ujuzi na ujasiri nimeupata humu humu jamii forum, nawashauri wanawake wenzangu tujaribu tunaweza, samahani kwa gazeti kama kuna niliyemkwaza haikuwa lengo langu
kwa hyo unataka kusema kuwa matikiti yanalimika sana majangwani?matikiti hayana msimu, ila hushauriwi kulima wakati wa masika, matikiti yakisha komaa, yakikutana na mvua hapo huto ambulia kitu, yanapasuka yote kwa hiyo hushauriw wakati wa masika