A Peculiar people
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 612
- 773
Sijakupata mkuuKwanini la kwanza Huwa linawahi?
Eeh watuambie ili tusikoseeNgoja waje wazoefu
Ila waliooa na kuolewa wamezidi malalamiko jamn Yani 😀😀😀
kwa kifupi ni ubinafsi na choyoMi Binafsi yangu, naona ungekua Bora Kila mtu angejitimizia mahitajia yake.
Maana Wanawake wanajiona ni wamaana sana, Kila Kitu wao wanakuka na wao ndo Wana akili ya Kila Jambo, kwa mtazamo wangu ndo Bora isingekuepo.
🤣🤣🤣🤣 Mbona ata sie masinglest nao tunalalamika msiwao ee waluo kwenye ndoaNgoja waje wazoefu
Ila waliooa na kuolewa wamezidi malalamiko jamn Yani 😀😀😀
Ndoa kweli ni kitu cha kuheshimikaNatumai mnaendelea vyema wadau.
Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu. Uzi huu unahusu sawa zima la ndoa.
Kwa miaka mingi ndoa imekuwa ni kitu cha kuheshimika au heshimana wengi wetu tunaona ndoa kama ndio msingi wa familia.
Lakini ni wapi kwa kizazi hiki tumekosea kiasi kwamba kumekuwa na maumivu mengi, malalamiko na hadi wengine kufikia uamuzi wa kuto kama kama na kuolewa. Ili hali tunaona ndoa ambayo inatengeneza familia ndio chanzo cha malezi bora kwa watoto.
Ni wapi haswa tunapokosea?
Je, ni sahihi kuendelea kuandaa kizazi cha watoto ambao wengi wao ni wanalelewa na single mother au single father?
Nawasiliasha ndugu zangu..
🤔Ndoa ni mkataba wa maisha ambao ushapitwa na wakati.
Huko tuendako hali ni ngumu zaidi si kwa wanawake si kwa wanaumeNatumai mnaendelea vyema wadau.
Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu. Uzi huu unahusu sawa zima la ndoa.
Kwa miaka mingi ndoa imekuwa ni kitu cha kuheshimika au heshimana wengi wetu tunaona ndoa kama ndio msingi wa familia.
Lakini ni wapi kwa kizazi hiki tumekosea kiasi kwamba kumekuwa na maumivu mengi, malalamiko na hadi wengine kufikia uamuzi wa kuto kama kama na kuolewa. Ili hali tunaona ndoa ambayo inatengeneza familia ndio chanzo cha malezi bora kwa watoto.
Ni wapi haswa tunapokosea?
Je, ni sahihi kuendelea kuandaa kizazi cha watoto ambao wengi wao ni wanalelewa na single mother au single father?
Nawasiliasha ndugu zangu.
Kataa ndoaEeh watuambie ili tusikosee
Hao wakina mama wa nyumbani nao wanaangalia tv uko wanaowaona wakina joyce kirya. Wana mashoga zao mtaani ishu ndogo tu utasikia achana nae mgawane mali ufanye maisha yako mwenyewe.Vijana wakiachana na mawazo ya kupata mwenza wa kusaidiana maisha na ku-stick kutafuta mama walezi wa watoto wao taasisi itarudi ktk ubora wake.
Tafuta leo aliyeoa mama wa nyumbani na aliyeoa mfanyakazi utaelewa nachomaanisha hapa.