A Peculiar people
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 612
- 773
Natumai mnaendelea vyema wadau.
Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu. Uzi huu unahusu sawa zima la ndoa.
Kwa miaka mingi ndoa imekuwa ni kitu cha kuheshimika au heshimana wengi wetu tunaona ndoa kama ndio msingi wa familia.
Lakini ni wapi kwa kizazi hiki tumekosea kiasi kwamba kumekuwa na maumivu mengi, malalamiko na hadi wengine kufikia uamuzi wa kuto kama kama na kuolewa. Ili hali tunaona ndoa ambayo inatengeneza familia ndio chanzo cha malezi bora kwa watoto.
Ni wapi haswa tunapokosea?
Je, ni sahihi kuendelea kuandaa kizazi cha watoto ambao wengi wao ni wanalelewa na single mother au single father?
Nawasiliasha ndugu zangu.
Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu. Uzi huu unahusu sawa zima la ndoa.
Kwa miaka mingi ndoa imekuwa ni kitu cha kuheshimika au heshimana wengi wetu tunaona ndoa kama ndio msingi wa familia.
Lakini ni wapi kwa kizazi hiki tumekosea kiasi kwamba kumekuwa na maumivu mengi, malalamiko na hadi wengine kufikia uamuzi wa kuto kama kama na kuolewa. Ili hali tunaona ndoa ambayo inatengeneza familia ndio chanzo cha malezi bora kwa watoto.
Ni wapi haswa tunapokosea?
Je, ni sahihi kuendelea kuandaa kizazi cha watoto ambao wengi wao ni wanalelewa na single mother au single father?
Nawasiliasha ndugu zangu.