plan z
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 1,394
- 1,434
Kama kichwa kinavyojieleza, huyu anaweza akawa mfanyakazi mwenzako, ndugu yako, mzazi wako au mtu wako yeyote wa karibu ambaye hata ukimkwepa na kumpuuza bado yupo tu kwenye life lako hivyo inakuwa hakuna namna.
Wakati mwingine hata mke au mme n.k n.k
Ukiweka plans zako ukaanza kuzitekeleza unakuta unawekewa pingamizi na watu wa namna hiyo, unaamua kukeep going no matter what, still raia waivyo ndo wanazidi kukuwekea vikwazo au fijisu mbalimbali kwa namna yeyote ile usisonge, muhuni unaamua kukomaa hivyohivyo kibishi, bado raia zinazidi kukaza uzi, raia zingine zinaamua kukuloga, hapo muhuni unaamua kuokoka na kuanza maombi au kwenda kuzindikwa, still raia nao wanazidi. Wanataka uishi maisha ya chini ili wakucheke, wakuseme au wakufanye mtumwa wao, ndiyo raha yao.
Yani hawa raia wakiona tu unaelekea kutoboa wanakuwa kama wachawi vile utafikiri ndugu zake shetani. Wasione tu unapata mpenyo.
Nadhani mshaielewa hii situation. Sasa wadau mada hii napendekeza itumike kushusha nondo tushirikishane mbinu mbalimbali za kudeal na hao raia, maana kuwauwa haifai tutafungwa jela.
Wakati mwingine hata mke au mme n.k n.k
Ukiweka plans zako ukaanza kuzitekeleza unakuta unawekewa pingamizi na watu wa namna hiyo, unaamua kukeep going no matter what, still raia waivyo ndo wanazidi kukuwekea vikwazo au fijisu mbalimbali kwa namna yeyote ile usisonge, muhuni unaamua kukomaa hivyohivyo kibishi, bado raia zinazidi kukaza uzi, raia zingine zinaamua kukuloga, hapo muhuni unaamua kuokoka na kuanza maombi au kwenda kuzindikwa, still raia nao wanazidi. Wanataka uishi maisha ya chini ili wakucheke, wakuseme au wakufanye mtumwa wao, ndiyo raha yao.
Yani hawa raia wakiona tu unaelekea kutoboa wanakuwa kama wachawi vile utafikiri ndugu zake shetani. Wasione tu unapata mpenyo.
Nadhani mshaielewa hii situation. Sasa wadau mada hii napendekeza itumike kushusha nondo tushirikishane mbinu mbalimbali za kudeal na hao raia, maana kuwauwa haifai tutafungwa jela.