Mada: Kwanini tumefika hapa?

Sana Dunia imefika pabaya..kuna wakati ua nawaza dunia hii ya sasa na utandawazi huu, kizazi kijacho kitaikuta dunia katika hali gani?
Tutakua kweli mfano wa kuigwa kwa kizazi kijacho
 
Sana Dunia imefika pabaya..kuna wakati ua nawaza dunia hii ya sasa na utandawazi huu, kizazi kijacho kitaikuta dunia katika hali gani?
Tutakua kweli mfano wa kuigwa kwa kizazi kijacho
Huko baadae ndio usiseme
 
Ni sahihi kabisa, lakini elimu ya msingi ya mahusiano na ndoa huwa inatolewa Kwa usahihi? Tukianza ngazi ya familia, na jamii na taifa kwa ujumla hali ikoje?
 
Ni sahihi kabisa, lakini elimu ya msingi ya mahusiano na ndoa huwa inatolewa Kwa usahihi? Tukianza ngazi ya familia, na jamii na taifa kwa ujumla hali ikoje?
Inatolewa lakini imezidiwa nguvu na nguvu ya globalization, Yaani wakati elimu ya masuala ya ndoa inatolewa Basi ilipaswa na elimu ya namna ya kuhandle kasi ya globalization ingekuwa inatolewa vile vile ,, tena now days ndio kumekuwana balaaa ,, Kuna wanawake wengi Sana now days w
Katika wale unaowajua na usiowajua wana magroup ya WhatsApp huko Wana ongelea ngono tu kila kukicha miongoni mwao Kuna wake za watu na wasio wake za watu,

Yaani huko watu Wana danganyana ile mbaya , do you think mkeo akiwa ktik makundi Kama hayo aajifunza Nini !? Kama sio kuja kuleta mabalaa katika ndoa yenu
 
Huko baadae ndio usiseme

Na sijajua kwanini wanawake wakikaa peke yao wanaongeleaga zaidi wanaume na changamoto wanazopitia huko saluni, kwenye vijiwe vya ususi saizi Ndio imehamia kwenye makundi ya Whatsapp, elimu ilitakiwa itolewe zaidi kuwajenga hawa vijana hasa katika mahusiano kujua wajibu na haki zao katika mahusiano
 
safi sana kiongozi akili kubwa, busara na hekima, ukomavu na uongozi umesheheni, building a constructive society is our collective and mandatory responsibility. Sisi sote ni ndugu, umoja ni nguvu, pamoja tunaweza na shina lake ni taasisi iitwayo ndoa.

Mtarajiwa wa ndoa awaye yeyote zingatia ushauri huu wa mdau ipo neema ya kudumu ukizingatia.
 
Hii inapaswa kuwa mada za wanandoa kama life transition portfolio, do's and don't's kwenye maisha ya ndoa our brains organically knows all sorts of boundaries, dual education and sensitization among couples iwe endelevu plus religious platforms.
 
Jambo la msingi sana hili
 
Ubarikiwe
 
Jambo la msingi sana hili
Mahusiano mengi yanavunjika ukiangalia Kwa umakini kuna movement ya haki sawa yaani mwanamke anataka mwanaume akitoka na yeye atoke bila kuulizwa halafu hapo hapo anataka apendwe, athaminiwe na kuheshimiwa kitu ambacho hata ukienda Kwa mganga Kwa mwanaume Hilo haliwezekani mwanamke anatakiwa amtreat kama mfalme hapo atakuwa malkia bila shuruti
 
Kwa kweli hata Mimi sijui
 
Hakika, umenena vyema...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Mada mzuri sana mkuu
Wewe unafikir tufanye Nini? Wimbi la vijana kujisifia juu ya kula wake za watu linaongezeka na imekuwa kafasheni wanajisifia kula wake za wenzao wakat huo Kuna mabint wamewazalisha hawaijui hata sabuni
 
Hakika, umenena vyema...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Nimeangalia clip moja nimejikuta naumia sana vijana wakiume(mashoga) wanahojiwa vijana ambao ulitegemea watengeneze familia dah!! Inasikitisha angalia sababu yao et ni homoni zimezidi kwenye miili Yao ndio maana wamejikuta mashoga kizazi kitakachofuata sijui kutakuwa kizaz cha namna gani?
 
Inasikitisha sana, wengine wanasema wamejikuta tu wapo hivyo...

Huwezi kujikuta tu upo hivyo mazingira yanachangia sana kutengeneza tabia ya mtu...
 
Inasikitisha sana, wengine wanasema wamejikuta tu wapo hivyo...

Huwezi kujikuta tu upo hivyo mazingira yanachangia sana kutengeneza tabia ya mtu...
Huwezi jikuta tuuu, eti nimeumbwa hivyo na Mungu, Mungu gani huyo angeumba angekataza? yaani eti na wao wanachama cha kusaidiana na walikuwa kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa mwenzao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…