kisokolokwinyo20
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 472
- 423
Kuna watu wamejaliiwa kuzungumza, yani mnaweza kukaa mahala akawa anaongea yeye tuu muda wote.
Kiukweli hawa watu wanaboa hasa ukutane na yule mjuaji na mbishi yani ukitaka kumuongelesha tuu utasiki 'sikiliza wewe mimi najua' ni hivi na hivi na vile.
Nyie waongeaji embu punguzeni kidogo na muwe na akiba ya maneno!
Kiukweli hawa watu wanaboa hasa ukutane na yule mjuaji na mbishi yani ukitaka kumuongelesha tuu utasiki 'sikiliza wewe mimi najua' ni hivi na hivi na vile.
Nyie waongeaji embu punguzeni kidogo na muwe na akiba ya maneno!