Nakupenda mm we mdada jamani [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] Mungu wangu azidi kukuweka tu kwa ajili yanguHahaha yaaani wewe ni mama muinjili
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hamia nitakusindikiza na mm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nahamia kenya talk kama Sakayo
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha... mm mume wangu anajua siku nikiwa single n8tafnya kazi km kichaa....ila ss hv unapiga hatua 2 anakuvuta makjsudi hatua zero..sijui ana shidq gan..alafu mm sio mwanqmke mbinafsi sijui niseme nijenge sijji nijengee wazaz..70%ya mapato yangu anakula yy ila haishi kunirudisha nyuma..jaman nimechok
Hakuna mwanaume anayekubali hiyo watapelekana ustawi wa jamiiAondoke na watoto
Poa mwenza ukuje tupombeke maisha ndio hayahayaNipo chugga mpenzi, nikija dar nitakuona
Hahaha hahaha hahaha yaaani wewe hapana aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nahamia kenya talk kama Sakayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi si ni kweli lakini dadaHahaha hahaha hahaha
Nacheka mimi
Basi arudi alee watoto wake ila utamu asimpeHakuna mwanaume anayekubali hiyo watapelekana ustawi wa jamii
Jamani jamaniiNakupenda mm we mdada jamani [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] Mungu wangu azidi kukuweka tu kwa ajili yangu
Asante Melo kwa kuanzisha jf na kunikutanisha na sakayo wangu
Ni vile ninavyokusumbua kila siku na mazonge yangu na kukulilia hunichoki jamani msiri wangu mm
[emoji23][emoji23][emoji23]Wapi nimewataka jamani
Haha unataka uanze kurembua bila sababuJamani jamanii
Nitumie kungFu hebu msiri wanguu
Kwa nini asikubali, kama watoto ni wadogo wana haki ya kuishi na mama yao! Sidhani kama dada etu ako na mpango wa kuolewa tenaHakuna mwanaume anayekubali hiyo watapelekana ustawi wa jamii
Mama muinjili sitaki dhambiiiiHivi si ni kweli lakini dada
ww upo km mm sipendi kelele jaman mm...mie had wazaz wananiambia anakuloga huyo ww[emoji23][emoji23][emoji23]sion ht mia yake[emoji23][emoji23][emoji23]alafu npo cool tu..mwenzangu anafanya online shoping had za watoto ila mie ht hajigusi[emoji106]
[emoji23][emoji23][emoji23]Nilikutafuta sana Shunie akaniambia umehamia Kenya talkHahaha hahaha hahaha yaaani wewe hapana aiseee
Ndio nilichomwambia hata watengane vyumba tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] mfyuuuu umeanzaJamani jamanii
Nitumie kungFu hebu msiri wanguu
Ila hiyo ni ngumu sana aisee inahitaji moyo mgumuNdio nilichomwambia hata watengane vyumba tu