Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Nini hebu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini hebu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona unanisingizia lakini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Nilikuambia fuata moyo wako jamani loooooh. Ukiamua kurudi nitakusapoti pia friend
Naona mahubiri ujueNiko hapa mpendwa wangu katika bwana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahyo roho mbaya unanifanyiaga mimi tuWanaonijua wanajua roho yangu mshipa wa watu wewe si unajua mm nina roho mbaya
Hahaha hahaha hahaha[emoji23][emoji23][emoji23]@shunie awe mama muinjili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji123]
Anateseka mwenzio hebu rudi, nani atampikia sasa[emoji23][emoji23][emoji23] OMG..
Ebu rudisha moyo nyuma waangalie watoto hivi utapenda waje kulelewa na mwanamke mwenzio[emoji23][emoji23] unajua imefika hatua had wazaz wanasema labda ss hv utaamka...mahakamn wamemchambaaa...chamba balaaa wakasema hv ww unaish na mke au?khaa bwana wee shunie
Watoto tu arudishe moyo nyuma jamaniNaona mahubiri ujue
Hahhahahah roho mbaya ipiii niliyokufanyia mm
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na nimewezeshwa kweli mimiHahaha hahaha hahaha
Akiwezeshwa anaweza
Aache kwanza pombe[emoji23][emoji23][emoji23]@shunie awe mama muinjili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji123]
Nyie huku jf sijui mnanichukuliaje nje ya jf mm ni shunie tofauti Sakayo shahidi wangu
Kwanini asichukue watoto wake akae naoWatoto tu arudishe moyo nyuma jamani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pombe ndio nn wewe hata kwenye Bible hakuna madhara
Ebu rudisha moyo nyuma waangalie watoto hivi utapenda waje kulelewa na mwanamke mwenzio
Huyo mwanaume ameshajifunza sana atabadilika mpenzi bora huyo uliyemzoea na makorokoro yake kuliko uje kuanza na mtu mpya mpaka mzoeane sio leo
Mngekuwa hamjazaa ningekwambia hayo maamuzi ni sawa lakini watoto mane ebu wahurumie tu kidogo kama mama yao
Ebu shangaa jamani kwenye Bible tunaita divai[emoji23][emoji23]kwan pombe kitu gan bwana
Basi sawa kama pombe sio kitu[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]kwan pombe kitu gan bwana