Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
UsijaliSasa usije ukaitangaza ndoa yetu huku...
Tuvumiliane kisirisiri
Nina tuzo ya uvumilivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UsijaliSasa usije ukaitangaza ndoa yetu huku...
Tuvumiliane kisirisiri
Kwanini hukufa wewe utuwache na ua letu pendwa?Nalipenda hilo ua lako..nilijaribu kulipanda kwangu likafa
Ndio maana nakupendaga mpaka nachanganyikiwaUsijali
Nina tuzo ya uvumilivu
so mkuu unaona suluhusho ni kuchelewa chelewa kijiweni ili ukirudi ukute keshalala?kesho tena utafanya hivo hivo , mi nafikiri mtu hawezi sema tu hata kama hakuna tatizo, hivo lazima kuna tatizo mahali ndyo maana anaongea ,so its better mkayamaliza. mambo mengine ya maendeleo yaendeleeMwanamke hapungukiwi na maneno....
Hata kama kila jambo liko sawa atasema tu.
Na maisha sio mstari mnyoofu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema kweeli jamaniiNdio maana nakupendaga mpaka nachanganyikiwa
Wewe ndoa yako haina matata au bado una miaka chini ya 18?so mkuu unaona suluhusho ni kuchelewa chelewa kijiweni ili ukirudi ukute keshalala?kesho tena utafanya hivo hivo , mi nafikiri mtu hawezi sema tu hata kama hakuna tatizo, hivo lazima kuna tatizo mahali ndyo maana anaongea ,so its better mkayamaliza. mambo mengine ya maendeleo yaendelee
Niape?Sema kweeli jamanii
Usiape walaaNiape?
Ewaaaa...Usiape walaa
Mie nakuamini ujue!
Hebu twende mpakani ukalipe mahariEwaaaa...
aaah Babu under 18 kwelii🙄, bado sijaingia huko ndoani, ila ni kamtu kazima hiviWewe ndoa yako haina matata au bado una miaka chini ya 18?
Teh eti akili kisoda[emoji23]Dah ndoa yangu imedumu kwa miaka 6....niliokutana nayo yanatosha
Hasa ukikutana na mwenza akili kisoda shida sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unaogopa nini...wote tunapitia changamotoHayumo humu,
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nitachelewa kwa sababu maalum nyimbo zake nishazizoea nachambua yaliyo ya mihimu na kuyafanyia kazi mengine naweka kando.so mkuu unaona suluhusho ni kuchelewa chelewa kijiweni ili ukirudi ukute keshalala?kesho tena utafanya hivo hivo , mi nafikiri mtu hawezi sema tu hata kama hakuna tatizo, hivo lazima kuna tatizo mahali ndyo maana anaongea ,so its better mkayamaliza. mambo mengine ya maendeleo yaendelee
unajua sikupanga😂😂😂..imetokea paap nikasema hv shida nn lakini..na kila.myu anajua hawez kubali niwachukue
Hajawahi kunikwaza kwakweli. Mara nyingi huwa nawahi kurudi nyumbani ili kumsaidia kukata vitunguu na kutengeneza juice.aaah Babu under 18 kwelii🙄, bado sijaingia huko ndoani, ila ni kamtu kazima hivi
Vipi wewe Bibi Sky akikukwaza huwa unafanya kuchelewa ili ukirudi ukute anakoroma zake?
Nataka nilipe mara mbili ya niliyoambiwa nilipe. Sio kwa mahaba hayo lazima nilipe fadhila kwa wazaa chema kitamuHebu twende mpakani ukalipe mahari
Hayo ya nyongeza nipe mimi jamaniNataka nilipe mara mbili ya niliyoambiwa nilipe. Sio kwa mahaba hayo lazima nilipe fadhila kwa wazaa chema kitamu