Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Dhambi zote ni sawa mbelw za Mungu, hata ukisema uongo kuwa upo kariakoo wakati uko Mwenge ni dhambi tayari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeandikaje?Umeandika kama Jose Mourinho
Natamani sana kuwa single ila kwa nilipofika siwezi rudi nyuma, ntavumilia lakini watu/mimi kuwa kwenye ndoa haimanishi kuwa kuko shwari. Wengi tunakutana na vitu ambayo hatukutegemea
Sent from my iPhone using JamiiForums
Dhambi zote ni sawa mbelw za Mungu, hata ukisema uongo kuwa upo kariakoo wakati uko Mwenge ni dhambi tayari.
Uvumilivu na ujasiri kiwango cha kujifunika shuka moja na snake ndiyo unahitajika
Sent from my iPhone using JamiiForums
Uwe unanitafuta niwe nakupa daraja. Mi nina kipaji cha kuwachombeza wenye mawazo...hv ndo naingia bed nijaribu kulala..had kichwa kinauma😂😂 ...!
😂😂😂u made my day thou
Karibu, ila ujue tulishaongeaga, najua ishu yako ni complicated, mi watoto tu ndo wananiuman
ntakuja sebulen kwako utanielewa
Simaanishi umpige. Weka misimamo yako vizuri, mkiwa serious tunaogopaAisee, so Demi unataka nifundisha nin?? Acha niwe mpole tu kukwepa mengi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Uwe unanitafuta niwe nakupa daraja. Mi nina kipaji cha kuwachombeza wenye mawazo...
Sina maana hiyooo...
Huwezi jua, may be kwako itakuwa tofauti
Karibu, ila ujue tulishaongeaga, najua ishu yako ni complicated, mi watoto tu ndo wananiuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri sana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16], mim sina tatizo na flat screen, wala hilo halijawahi kuwa ishu hata kidgo mana nilichagua mwenyewe
Sent from my iPhone using JamiiForums
Napenda sana kucheka na kutabasamu...
Ikitokea nimempa tabasamu mtu mwingine nasikia raha na kufarijika.
Nafurahi kuwa leo nimekupa cheko, tabasamu na kuinakili siku yako hata ukasahau unayopitia kwa dakika kadhaa.
Inakuwaga raha sana [emoji3][emoji3]
Afu hilo limjamaa lako litakuwa limeenda wapi? Mi kufumaniwa na mijamaa yenye wivu sina kipaji hicho😂njoo goig bas unichombeze😂😂
dah mnatutisha kuingia uko sasaNdoa husaidia mtu kuzeeka haraka. Kabla sijaoa age mates wangu waliokuwa wameoa niliona wameanza kuzeeka haraka na kuwa na sura zenye mikunjo na uso uliopoteza nuru na furaha, sikuelewa kwanini walikuwa vile, ila baada ya kuoa nahisi hata mimi sasa nimeanza kufanana nao japo siwezi kujiona. Kuoa ni sawa na kuji register to your final destination.
Sent from my iPhone using JamiiForums
LeoTunaoana lini?
Mwanamke hapungukiwi na maneno....Hiyo mume kuchelewa vijiweni ili kukwepa kimdomo cha wife home duuh, ni bora uwahi kurudi ili msuluhishane mlipokosea maisha yasonge, ikiwa hivo naona kama mnakua hamtibu tatizo(mnalikwepa),at the end litakua sugu
Sent using Jamii Forums mobile app