Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

Niliwahi kuwa na jamaa flan, alikosea analia Mpk machozi yaani lazima umuonee huruma umsamehe, baada ya mwezi anarudia same thing [emoji23][emoji23][emoji23]. Watu wasanii


hahahaha... mm nimechoka demi ww...ujue nilomwambia mpelelezi kuwa mie ni km nimejioa tu..najitunza kwa kila kitu😂😂 akasema usemayo na mume amekiri unahaki tu🙄
 
Ndio mana nikamwambia dawa ya mwanamke jeuri ni kumuongezea mwenzie, kuna mmoja baada ya kujifungua tu mapenzi yakahamia kwa mtoto, baba mtu hapatilizwi akiulizwa anajibu nimuangalie mtoto na wewe mtu mzima pia mume kamwambia dawa yako yachemka, siku tatu aakamtaarifu nataka kuoa mke wa pili sasa hivi adabu na heshima
Kabisa....sio bure asee Kuna kitu behind the scene

Umjibu mwenzako kunya hivo wee sio wanaume wa kwetu ninaowajua[emoji2958][emoji2958]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mana nikamwambia dawa ya mwanamke jeuri ni kumuongezea mwenzie, kuna mmoja baada ya kujifungua tu mapenzi yakahamia kwa mtoto, baba mtu hapatilizwi akiulizwa anajibu nimuangalie mtoto na wewe mtu mzima pia mume kamwambia dawa yako yachemka, siku tatu aakamtaarifu nataka kuoa mke wa pili sasa hivi adabu na heshima
Oops! Hiyo kiboko....sasa unakuta hawa ni wakristo haviruhusiwi hivoo mwee[emoji2955][emoji2955]

Waislam mna rahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ni wapole sana aisee. Huyu wangu sijui naanzaje kumpigia kelele. Huwa nanyamaza tu yakinizidi napanda gari nasafiri tunasolve nikiwa mbali then narudi.
Nikiwa mbali ananitambua..nakuwa na confidence balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] namjibu chochote nachotaka mpk anashangaa, Ila nikiwa nae karibu thubutuuuu
Ww ni shemeji yangu nahisi, sbbu mke wa mdogo wangu ndio anavyofanya wakikosana na bwana mdogo, alaf akishaondoka mimi ndio nasumbuliwa ongea na shemeji yako arudi, 🤣🤣 NAWAZA2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejikuta hata cha kusema sina, ila unaweza mpa likizo kidogo kwa muda anbao wewe utaona unafaa akake kwao huku ukimhudumia mtoto wako akili itamkaa sawa, maybe ashajua umefika kwake huna cha kumfanya ndio mana labda pole sana
Huyu nilikuwa nae miaka minne kabla ya ndoa,

Alikuwa akiishi kwao katika kuruka ruka nikampachika ujauzito ikabidi niende kujitambulisha kwao na kuanza taratibu za ndoa

Alipojifungua na mtoto alipofikisha mwaka mmoja na nusu tukafunga ndoa ndo tunaishi wote hivi sasa

Kipindi hicho chote alikuwa akikosea anakiri na tunayamaliza maishaa yanaendelea ila sasa jeuri imezidi, alikuwa akinijibu jeuri mbele ya wifi yake maana mwanzo nilikuwa nikimwambia wifi yake alikuwa anamtetea sasa siku aliponijibu hovyo mbele yake alimkataa (yaani Dada alipanic kaka yake nadharirishwa)
Mimi nikamwambia mwanamke,"JIANDAE KESHO KWENU" hapo akawa mpole ghafla na huruma juu

Kinachonigharimu huwa napend3a kutumia busara yaani huwa sijisikii vizuri kupiga mwanamke ila ikafikia kipindi uvumilivu unanishinda kama binadamu nampiga haswa kutokana na maneno yake ya kukera,
 
Naona watakua waislam mana alisema anafkiria kumpa talaka, kwa kweli japo dini imeruhusu lakini usiombe yakufike, sema utafanyaje na kaamua kufanya halali unakubali tu mnakua wawili loh
Oops! Hiyo kiboko....sasa unakuta hawa ni wakristo haviruhusiwi hivoo mwee[emoji2955][emoji2955]

Waislam mna rahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww ni shemeji yangu nahisi, sbbu mke wa mdogo wangu ndio anavyofanya wakikosana na bwana mdogo, alaf akishaondoka mimi ndio nasumbuliwa ongea na shemeji yako arudi, [emoji1787][emoji1787] NAWAZA2

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Mimi[emoji3].
Mimi nikiondoka siongei na yoyote yule awe wifi, shemeji hata ndugu zangu siwaambii chochote. Nakaa karibu na mama mkwe bas analalamika why naondoka bila kuaga na kwanini simwambii matatizo yetu. Tukishapata narudi zangu na hakuna anayenirudisha wameshazoea uchizi wangu
 
Naona watakua waislam mana alisema anafkiria kumpa talaka, kwa kweli japo dini imeruhusu lakini usiombe yakufike, sema utafanyaje na kaamua kufanya halali unakubali tu mnakua wawili loh
Yaah ....nimekumbuka na kasema anasubiri ajifungue ampige chini[emoji849][emoji849]

Ila asidhani ni rahisi kama anavyowaza, japo bidada kiburi

Je kama ana uhakika na tunguli lake? Jamaa ajipange

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahahhaa nimecheka kama.mazuri, et ana uhakika na tunguri lake na sisi wanawake tukiamua letu hatuna ushauri,labda ni kadhia za ujauzito zinamfanya hivo avumilie aone
Yaah ....nimekumbuka na kasema anasubiri ajifungue ampige chini[emoji849][emoji849]

Ila asidhani ni rahisi kama anavyowaza, japo bidada kiburi

Je kama ana uhakika na tunguli lake? Jamaa ajipange

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahahhaa nimecheka kama.mazuri, et ana uhakika na tunguri lake na sisi wanawake tukiamua letu hatuna ushauri,labda ni kadhia za ujauzito zinamfanya hivo avumilie aone
Nilitaka kusema hivoo...labda ni ujauzito pilika pilika na ninini


Ampe likizo tu ya uzazi...bidada ammiss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom