Duh..! Hii ndoa ikifikiasha mwaka sijui...!!!?!
Maana naona kuna vitu navimiss ukizingatia mwanamke mwenyewe kichwa ngumu, yaani afadhari angekuwa tayari kukusikiliza, yeye nikiwa namwambia kitu kama kumwelewesha ataanza ubishi na kuleta ujuaji
Nikimwambia usifanye hivi ye atafanya
Hakuwahi kufanya kosa akaomba msamaha, yaani yeye muda wote anajiona yupo sahihi, kukiri kakosea hilo kwake halipo
Nnampaango wa kumsafirisha aende kwao ili mi nipumzike,
Maana afadhari angekuwa yupo tayari kunisikiliza, yeye nikimwambia tuongee atanijibu yupo busy
Sa sijui mwanamke wa aina hii nitaishi nae vipi...!