Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
amenikosea mm ...yy anaomba msamaha na viapo juu tht atachange
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amenikosea mm ...yy anaomba msamaha na viapo juu tht atachange
Eeeh wewe msifie mumeo/mkeo uwaone kina sheikh Yahya wa JF sasa. Hakuna maisha marahisi, hata ukiwa single bado kuna changamoto zake. Ni kumpata tu mtu ambaye mnaweza mkachukuliana changamoto zenuUkisoma comment za humu unaweza amini ndoa ni mbaya na zina mabaya kibao.
Ukileta thread ya kukandia ndoa watu watakupa pole kibao ila leta thread ya kusifia ndoa yako utakandiwa mpaka basi.
Kwa homa ya ini acha denda, kunyonyana nyuchi, na kutomb.an.a kavu utaiepuka...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha mi niendelee kufunguka,Aajaaaajaaaah sasa mbona hiyo sio furaha ni karaha?[emoji2958][emoji2958][emoji849]......kama Kuna mengine mpaka umeficha seems so serious asee!
Ila kiukweli kabisa ndoa ni ngumu sio mbaya ila ni ngumu kwelikweli inabidi ukaze si kitoto!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mdau mmoja kashauri kitu cha maana sana, tafuta furaha binafsi, waweza jikuta unaongea mwenyewe hivi hivi, mpaka namkumbuka x wangu niliyemkimbia mana I was a king to her, ila huku am just a man with a trouser
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ushawahi kufunga na kusali?[emoji23][emoji23][emoji23] mm sina iman...eti sijui nipoje..nawazaga hvo
ndagha mama kuelewa yaan walinikomalia..point yao dhaifu kweli..oh ww dada msamehe huyu mumeo amejuta sana[emoji849]
Pia achome sindano ya Kinga ya homa ya Ini basi ataiepuka
Wee umeishachoma twin?[emoji849]Pia achome sindano ya Kinga ya homa ya Ini basi ataiepuka
Umemuachia wanao??daaaahasante sana mkuu...naumia...naumia sana..siumii kisa nimeamua kuondoka naumia wanangu...hawajui kitu kila siku nawadanganya nipo hosptal..!this too shall pass
Dooh kuiepuka nshafeli, natafuta matibabu yake tuu iwapo ntaipata.
Inatokea kwa ndugu yangu hii. Mke wake hamuamini kabisa hataki mumewe atoke aende kutafuta riziki.
Mwanamke kila kukicha ni kulalamika tuu. Mara hichi Mara kile.
Suluhisho Hapa ni Nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
unajua sikupanga😂😂😂..imetokea paap nikasema hv shida nn lakini..na kila.myu anajua hawez kubali niwachukue
Iyo ni ndoano sio ndoa kaka acha kuitusi ndoa ,,,!!!ndoa haipo kihivyoNdoa husaidia mtu kuzeeka haraka. Kabla sijaoa age mates wangu waliokuwa wameoa niliona wameanza kuzeeka haraka na kuwa na sura zenye mikunjo na uso uliopoteza nuru na furaha, sikuelewa kwanini walikuwa vile, ila baada ya kuoa nahisi hata mimi sasa nimeanza kufanana nao japo siwezi kujiona. Kuoa ni sawa na kuji register to your final destination.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yes dear nilizichoma
Kama kakosea na kajutia kosa lake huna budi kumsamehe.....kumbuka hakuna mkamilifuamenikosea mm ...yy anaomba msamaha na viapo juu tht atachange
Mmmmmh!.......hebu rudi bana usije kuta watoto washajifunza tabia za ajabu kitaaunajua sikupanga[emoji23][emoji23][emoji23]..imetokea paap nikasema hv shida nn lakini..na kila.myu anajua hawez kubali niwachukue
Sasa
Mkuu kama mimi huyu wangu naweza kutaka kuzungumza naye ili tujadili maisha yetu kiujumla ananijibu, "KWA SASA SINA MUDA NINA SHUGHURI ZANGU/NIMECHOKA/NALALA/KESHO NAFANYA USAFI" yaani kwa sasa naamua hata kufanya swala la maendeleo kwa ajili ya maisha yetu ya baadae mwenyewe au namshirikisha Dada yangu
Sijaona faida ya kuwa katika ndoa zaidi ya kuepuka dhambi ya kuzini
Ndoa ndo kwanza ina MIEZI MIWILI
Nafikiria kutoa Talaka nirudie maisha yangu ya usela
Pole Mane Mungu akutie nguvu, huwezi jua unaweza mpa nafasi ya mwisho akabadilika kweli.asante sana mkuu...naumia...naumia sana..siumii kisa nimeamua kuondoka naumia wanangu...hawajui kitu kila siku nawadanganya nipo hosptal..!this too shall pass