Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

Ukisoma comment za humu unaweza amini ndoa ni mbaya na zina mabaya kibao.

Ukileta thread ya kukandia ndoa watu watakupa pole kibao ila leta thread ya kusifia ndoa yako utakandiwa mpaka basi.
Eeeh wewe msifie mumeo/mkeo uwaone kina sheikh Yahya wa JF sasa. Hakuna maisha marahisi, hata ukiwa single bado kuna changamoto zake. Ni kumpata tu mtu ambaye mnaweza mkachukuliana changamoto zenu
 
Aajaaaajaaaah sasa mbona hiyo sio furaha ni karaha?[emoji2958][emoji2958][emoji849]......kama Kuna mengine mpaka umeficha seems so serious asee!

Ila kiukweli kabisa ndoa ni ngumu sio mbaya ila ni ngumu kwelikweli inabidi ukaze si kitoto!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha mi niendelee kufunguka,

Huyu wangu kuna kipindi alikuwa ananipangia mpaka kunipa tendo la ndoa, nikamwambia "MI HUWA SIPANGIWI KAMA HUTAKI NATAFUTA MWANAMKE MWINGINE"

Akanijibu, "TAFUTA"

Nikamwambia,,"ILI NITAFUTE MKE MWINGINE WEWE NI LAZIMA UONDOKE HUMU NDANI MAANA MI NIMEOA ILI KUIKWEPA ZINAA HIVYO SIWEZI KUZINI HUKU NINA MKE WA NDOA"

Akakaa kimya hakujibu kitu
 
Kuna mdau mmoja kashauri kitu cha maana sana, tafuta furaha binafsi, waweza jikuta unaongea mwenyewe hivi hivi, mpaka namkumbuka x wangu niliyemkimbia mana I was a king to her, ila huku am just a man with a trouser


Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo nikujua chanzo ca tatizo nini ongea na mke wajama ao jama mwenyew kwanza akwambie sababu ya yeye kupoteza uaminifu then mwanamke aeleweshwe kwamba njia iliyo sahihi ya kupata riziki ni kufanya kazi ataelewa tuu !
Inatokea kwa ndugu yangu hii. Mke wake hamuamini kabisa hataki mumewe atoke aende kutafuta riziki.
Mwanamke kila kukicha ni kulalamika tuu. Mara hichi Mara kile.

Suluhisho Hapa ni Nini?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoa husaidia mtu kuzeeka haraka. Kabla sijaoa age mates wangu waliokuwa wameoa niliona wameanza kuzeeka haraka na kuwa na sura zenye mikunjo na uso uliopoteza nuru na furaha, sikuelewa kwanini walikuwa vile, ila baada ya kuoa nahisi hata mimi sasa nimeanza kufanana nao japo siwezi kujiona. Kuoa ni sawa na kuji register to your final destination.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Iyo ni ndoano sio ndoa kaka acha kuitusi ndoa ,,,!!!ndoa haipo kihivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
amenikosea mm ...yy anaomba msamaha na viapo juu tht atachange
Kama kakosea na kajutia kosa lake huna budi kumsamehe.....kumbuka hakuna mkamilifu

Bora kichaa uliyemzoea kuliko kichaa mpya hujui atakuponda na nyundo au kisu

Sijui ishu yako deep ila nahisi mpe second chance, mtu akiomba msamaha husamehewa kama vile wewe ukikosea unataka kusamehewa!

Samehe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Loh pole, huyo mke likua naye kwa muda gani kabla hujamuoa?? Dini imesema mathna kuanzia wake wawili mkuu dawa ya mwanamke jeuri muongezee mwenzie atanyooka
Sasa

Mkuu kama mimi huyu wangu naweza kutaka kuzungumza naye ili tujadili maisha yetu kiujumla ananijibu, "KWA SASA SINA MUDA NINA SHUGHURI ZANGU/NIMECHOKA/NALALA/KESHO NAFANYA USAFI" yaani kwa sasa naamua hata kufanya swala la maendeleo kwa ajili ya maisha yetu ya baadae mwenyewe au namshirikisha Dada yangu

Sijaona faida ya kuwa katika ndoa zaidi ya kuepuka dhambi ya kuzini

Ndoa ndo kwanza ina MIEZI MIWILI

Nafikiria kutoa Talaka nirudie maisha yangu ya usela
 
Back
Top Bottom