Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Yes fanya hivyo, Nenda Agha Khan au Mnazi Mmoja ndiyo sehemu ninazozijua wanachoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes fanya hivyo, Nenda Agha Khan au Mnazi Mmoja ndiyo sehemu ninazozijua wanachoma
Kama kakosea na kajutia kosa lake huna budi kumsamehe.....kumbuka hakuna mkamilifu
Bora kichaa uliyemzoea kuliko kichaa mpya hujui atakuponda na nyundo au kisu
Sijui ishu yako deep ila nahisi mpe second chance, mtu akiomba msamaha husamehewa kama vile wewe ukikosea unataka kusamehewa ukikosea!
Samehe!
Sent using Jamii Forums mobile app
AsantePole Mane Mungu akutie nguvu, huwezi jua unaweza mpa nafasi ya mwisho akabadilika kweli.
Yes amsamehe mwenzake kama kajutia[emoji848][emoji848]....hakuna malaika hapa chini ya jua!Pole Mane Mungu akutie nguvu, huwezi jua unaweza mpa nafasi ya mwisho akabadilika kweli.
Choma sindanoDooh kuiepuka nshafeli, natafuta matibabu yake tuu iwapo ntaipata.
Sawa mkuu nimekuelewa......kiufupi huyo ni kiburi na namuonea huruma coz hawajui wanaume vizuri tabia yao....ngoja unase huko mizungukoni ataita maji mmmaaaaaa[emoji2958][emoji2958]Wacha mi niendelee kufunguka,
Huyu wangu kuna kipindi alikuwa ananipangia mpaka kunipa tendo la ndoa, nikamwambia "MI HUWA SIPANGIWI KAMA HUTAKI NATAFUTA MWANAMKE MWINGINE"
Akanijibu, "TAFUTA"
Nikamwambia,,"ILI NITAFUTE MKE MWINGINE WEWE NI LAZIMA UONDOKE HUMU NDANI MAANA MI NIMEOA ILI KUIKWEPA ZINAA HIVYO SIWEZI KUZINI HUKU NINA MKE WA NDOA"
Akakaa kimya hakujibu kitu
Asante sana twin....niko michakatoni nowYes fanya hivyo, Nenda Agha Khan au Mnazi Mmoja ndiyo sehemu ninazozijua wanachoma
Kama jamaa anayoyasema ni kweli hamsingiziii...bidada kiburi kimemjaa sasa sijui anajiamini vipi?Loh pole, huyo mke likua naye kwa muda gani kabla hujamuoa?? Dini imesema mathna kuanzia wake wawili mkuu dawa ya mwanamke jeuri muongezee mwenzie atanyooka
Yaani unakumbushwa majukumu ya muhimu hivyo unalalamika? Ungempata ambaye anakuhimiza starehe nadhani ungeridhika lohNilishawahi mara nyingi tu, sema mkifika huko baada ya nusu saa anaanza kuboa na raha yote inakuwa karaha, utasikia ohoo mbona kama tunapoteza tu hela, siturudi tu nyumbani, mara mbona pesa ya kulipa hela ya bima ya gari unasema huna mpaka tunatembea nalo usiku tu kama wanga alafu hapa tunazipoteza tu bure, mtu gani huna mipangilio ya expenditure zako ! Dah yani kero zinakuwa nyingi mpaka naamuua kwa hasira turudi tu home kwani hapo nakuwa nshakwazika sana.
Kama jamaa anayoyasema ni kweli hamsingiziii...bidada kiburi kimemjaa sasa sijui anajiamini vipi?
Au kamlisha shuntama mwenzie[emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah aisee yaani hizo ulizoziorodhesha hapo ndio kero za ndoa yako? [emoji23][emoji23][emoji23] Nicheke tu kwa kweli.Dah aisee kumbe tuko wengi sana, tatizo mimi dini hairuhusu, ila kama ningekuwa wa upande ule mapema tu ningerudia maisha yangu ya usela, yani burudani na furaha mda wote, no commitments, no stress, no ishu za leo tukasalimie wakwe, no ishu za baba na mama wanasema mbona kimya sana, no ishu za hiyo nguo uliyovaa haijakupendeza kaibadilishe, ukitoka out hauwazi kumkwaza mtu wala kuangalia angalia saa,
Wasikukatishe tamaa, kaoe uje tuendeleze huu uzi [emoji23][emoji23]Aisee au nighairishe haka kampango? Maana sijaona hata mmoja anaesemaa kitu positive kidogo nikapata moyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Loh pole, huyo mke likua naye kwa muda gani kabla hujamuoa?? Dini imesema mathna kuanzia wake wawili mkuu dawa ya mwanamke jeuri muongezee mwenzie atanyooka
Wakati mwingine inabidi mito , Kama Kuna Vita why muendelee kuishi pamoja? Mpk mtu ajiue au auliwe na mwenza tuishie kusema kwanini kafanya hivyo si Bora wangeachana? Haya mambo ni magumu sanaYaan naumia sana kusikia neno kuachana, huyu dada anapitia kipindi kigumu sana,lakini kuachana kusiwe option jaman
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu hapo kwenye ushirikiano ndio tatizo. Unakuta Kila mmoja ana mipango yako ya maisha..mume anawaza lake na mume nae anawaza lakeHujataka kuwa na furaha...itafute kwa kushirikiana na mwenza wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah halafu uje hapa kuponda single mazas. This world is so wickedTatizo huyu kishabeba mimba tayari, nasubiri ajifungue nimpige chini
Mkeo nae ni flat?Siyo bora hata angekuwa wa kutoka huko, ni wale flat screen
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yaani unakumbushwa majukumu ya muhimu hivyo unalalamika? Ungempata ambaye anakuhimiza starehe nadhani ungeridhika loh
Kabisa....sio bure asee Kuna kitu behind the sceneHahaha mwenyewe nimeshangaa, mazungumzo ni ya kimaendeleeo kabia hata kama hana muda angetega sikio pengine mood ingekuja akachangia mawazo kumjibu sina muda sjui anapata wapi huo ujasiri yawezekana kamlisha haswa kuna wanaume hawajibiwi kunya yan hata ile argh unafikirja mara mbili kuisema