Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

* No kusalimia wakwe
* Baba na mama wanasema kimya sana
*Nguo uliyovaa haijakupendeza
* Free kutoka out.

And you are here saying unawish kuvunja ndoa; kwa sababu hizo za hapo juu? Mpendwa hizo ni changamoto za kuvunja ndoa kweli; kweli? Aisee kuna watu wana changamoto, wewe unatania unless kuna mengine makubwa hujayasema
Anafanya masihara huyu jamani
 
Yes amsamehe mwenzake kama kajutia[emoji848][emoji848]....hakuna malaika hapa chini ya jua!

Sent using Jamii Forums mobile app

Ingawa aangalie na kosa Witty kuna watu wana majaribu!

Kuna namfahamu karibu kila mara anamfumania mumewe akikaa kikao wananchi tunamuambia amsamehe basi anasamehe.

Kuna siku katuita kikao wananchi kumbe keshamfumania mumewe na housegirl mara kibao mbaya zaidi mumewe kampa mdogo wake ujauzito alichosema hata aje Nani hawezi msamehe.

Kama kosa si kubwa hamsamehe kwa moyo mmoja ila kama ni mazito aangalie moyo wake unaamua nini.
 
Dah aisee yaani hizo ulizoziorodhesha hapo ndio kero za ndoa yako? [emoji23][emoji23][emoji23] Nicheke tu kwa kweli.
Halafu unaishi kwaajili ya dini utapata taabu sana hapa duniani.

No, hizo ni changamoto ndogo ndogo sana na zinavumilika, kama nilivyosema kubwa humu ni kazi kuziweka wazi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Duh..! Hii ndoa ikifikiasha mwaka sijui...!!!?!

Maana naona kuna vitu navimiss ukizingatia mwanamke mwenyewe kichwa ngumu, yaani afadhari angekuwa tayari kukusikiliza, yeye nikiwa namwambia kitu kama kumwelewesha ataanza ubishi na kuleta ujuaji


Nikimwambia usifanye hivi ye atafanya

Hakuwahi kufanya kosa akaomba msamaha, yaani yeye muda wote anajiona yupo sahihi, kukiri kakosea hilo kwake halipo

Nnampaango wa kumsafirisha aende kwao ili mi nipumzike,

Maana afadhari angekuwa yupo tayari kunisikiliza, yeye nikimwambia tuongee atanijibu yupo busy

Sa sijui mwanamke wa aina hii nitaishi nae vipi...!
Chaguo lako hilo pambana nalo. Mara moja moja peaneni likizo
 
Haya yatabaki sirini kwakweli , sipendi kuwafanya ambao hawajaoa wasioe mana ni mambo ya kuumiza sana, lakini all in all NDOA INA MATATIZO SANA, Ungeona nilivyoanza na makonfi, kila mahari hunikosi na wedding ring, hehehehe kwa sasa hata asubuhi ndani unatoka unanyata mana ukitoka yuko macho basi kasheshe lake lazima ofisin wapate story kutoka kwako


Sent from my iPhone using JamiiForums
Dah unanyata kwa mkeo? Sipati picha jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ushafikiri uzeeni utaishi na nani? Hebu waone wazee wanavyoteseka wakibaki peke yao. Tuwaze na ya mbele pia

Natamani sana kuwa single ila kwa nilipofika siwezi rudi nyuma, ntavumilia lakini watu/mimi kuwa kwenye ndoa haimanishi kuwa kuko shwari. Wengi tunakutana na vitu ambayo hatukutegemea


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ingawa aangalie na kosa Witty kuna watu wana majaribu!

Kuna namfahamu karibu kila mara anamfumania mumewe akikaa kikao wananchi tunamuambia amsamehe basi anasamehe.

Kuna siku katuita kikao wananchi kumbe keshamfumania mumewe na housegirl mara kibao mbaya zaidi mumewe kampa mdogo wake ujauzito alichosema hata aje Nani hawezi msamehe.

Kama kosa si kubwa hamsamehe kwa moyo mmoja ila kama ni mazito aangalie moyo wake unaamua nini.
Mrudiaji kosa simsamehi asee hata anijie na mbingu[emoji2958][emoji2958]....Hawa watu huwa hawabadiliki

Case ya Mane ni kama mume kafanya once na kaomba msamaha na anaonesha kujutia but kama ni ishu ya kila siku duuh asigeuze shingo....tabia ni kama ngozi cha kujifia na presha kisa mtu mwingine hapana asee...dunia tamu hata kialone alone tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mdau mmoja kashauri kitu cha maana sana, tafuta furaha binafsi, waweza jikuta unaongea mwenyewe hivi hivi, mpaka namkumbuka x wangu niliyemkimbia mana I was a king to her, ila huku am just a man with a trouser


Sent from my iPhone using JamiiForums
Maskini..madhara ya kumkimbiea ex hayo
 
Wacha mi niendelee kufunguka,

Huyu wangu kuna kipindi alikuwa ananipangia mpaka kunipa tendo la ndoa, nikamwambia "MI HUWA SIPANGIWI KAMA HUTAKI NATAFUTA MWANAMKE MWINGINE"

Akanijibu, "TAFUTA"

Nikamwambia,,"ILI NITAFUTE MKE MWINGINE WEWE NI LAZIMA UONDOKE HUMU NDANI MAANA MI NIMEOA ILI KUIKWEPA ZINAA HIVYO SIWEZI KUZINI HUKU NINA MKE WA NDOA"

Akakaa kimya hakujibu kitu
Dah huyo kiboko
 
Dah unanyata kwa mkeo? Sipati picha jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Haya yanatokea sana, hasa unapokuwa na mke mwenye makelele. Japo wapo wale wanaofaidi ndoa yani kabla ya kwenda kazin unapata kiss na wishes kibao za hiyo siku + kurekebishwa tai, pande za huku ni hatari unazuga zuga mara akija kushtuka haupo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom