Mada maalum kwa wanandoa

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] mfyuuuu umeanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa nini asikubali, kama watoto ni wadogo wana haki ya kuishi na mama yao! Sidhani kama dada etu ako na mpango wa kuolewa tena
Inavyoonyesha watoto wamevuka umri wa kuishi na mama wangekuwa wadogo asingewaacha

Ujue miaka 7 sijui baba anaruhusiwa kuishi na mtoto wake na miaka 9 kwa mtoto wa kike
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], umesema kulogwa nimekumbuka hata mim nilisha ambiwa kuwa yaweza kuwa nilimloga mana anashangaa amewezaje kujikuta kaolewa na mimi


Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jamani poleni mnoo
 
Nishawahi fungiwa mlango kisa kwenda kuangalia mpira usiku, ndoa ilikuwa na siku 10 tu, nikalala chumba cha jirani mpka asubuhi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…