Nimuachie nani utamu wa kwenye ndoa etiHahhaha kwahiyo hubaki tena singo geli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio hivyo, we jitie tu wife material ukakopwe ndoani ndio utafurahi. Jitu halijiongezibumetulia nayo tu[emoji134][emoji134][emoji134]
Jiandae kwa makuu yakustajabisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nacheka mmKwakweli, hadi yanikute ya kunikuta. Nitakaa chini nichekeeee na kulia juu.
Niandae na bango kabisaaaUkisikia nimeitisha kongamano ujitokeze haraka maana hali itakuwa si hali.
Total Desperate, hauna jinsi, ndoa haikwepeki aisee!
Chumbani tena!!!!Hahaha hahaha
Hebu waende kwenye ndoa zao sasa!
Mie naenda uchumbani huko
Nakufata tukalee woteJamani wanandoa nawaaga!
Leeni ndoa sasa, mie naenda lea uchumba!
Mlale unono, msahau shida zenu!
Yaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kukopwa ndoani jamani
Hahaha shurti na wewe uingie ndani upate experience yakoNyie tutisheni tuuu ila mimi ndio naandaa tangazo hivyo, hivyo wachumba mjiandae.
Soon tu mtakula mchele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakuwa mwaka gani
Be Humble is free of charge [emoji873]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au unakuwa Joyce kiria unayamwaga tu hadharaniSijui nikawe mama mchungaji tu!! Yakinikuta naandaa kongamano la wanawake tulie pamoja.
Hapana jamaniiChumbani tena!!!!
Kwahiyo na mchumba yupo chumbani[emoji134][emoji134][emoji134]
Hapa sina mtoto.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimuachie nani utamu wa kwenye ndoa eti
Kunauma acha tu, akili haitulii unahisi tu kuna mahali zinaenda. Unakutana na mama injili Heaven Sent anaongea barabarani peke yake kumbe ni mkopo huo[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kukopwa ndoani jamani
Hebu tulia na mumeo hukooNakufata tukalee wote
HahahhahahahhahaYaani
Kumbe waume wanauziwa eeh
Na sadaka ya kumfuta mama mchungaji machozi.Niandae na bango kabisaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana sio kweli[emoji23]
Niadd na mm basi kwenye video koluHapana jamanii
Ndo tunapiga video kolu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kunauma acha tu, akili haitulii unahisi tu kuna mahali zinaenda. Unakutana na mama injili Heaven Sent anaongea barabarani peke yake kumbe ni mkopo huo[emoji23]