Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
KweendaaaaNiadd basi mpendwa wangu katika bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KweendaaaaNiadd basi mpendwa wangu katika bwana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona unatufukuzaMshana asante kwa huu uzi jamani. Leo mejifunza mengi sana!
Wanandoa naomba mkalee ndoa sasa! Hapa sio salama tena kwa afya ya ndoa zenu
Hahhaha toka lini umekuwa muoga
Sadaka muhimu kwakweli, nikitoka hapo napitia amarula kutuliza koo.[emoji85][emoji85]Hahahhah mama mchungaji huyu kiboko
Kwahiyo hutaki kabisaKweendaaaa
Kabisa, kadri unavyopanda kikubwa ndivyo utakavyovuna.Hahaha hahaha hahaha hahaha. Tupande mbegu kabisaaa eehh
Nendeni kwenye ndoa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona unatufukuza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mama mchungaji anakunywa amarula apate hamu sijui atakulwa na nani huku kwenye ndoa kakimbiaSadaka muhimu kwakweli, nikitoka hapo napitia amarula kutuliza koo.[emoji85][emoji85]
Sitaki ndiwoooKwahiyo hutaki kabisa
Ndoa inaweza kukunyoso hadi ukarukwa akili. Na ukikumbuka ulikopwa pia ndio uchungu maradufu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ile nusu uchizi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nendeni kwenye ndoa
Sie tunaenda video kolu
Kwa nn lakini unanibania etiSitaki ndiwooo
Kama namuona alivyomsonya huyo askari kimoyomoyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna polis alimchamba had aibu nikaona mm..alimsema direkt..akasema ht mkeo aseme ana semina ya miez 2 ht ukerewe huko ana haki ya kwenda[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndoa inaweza kukunyoso hadi ukarukwa akili. Na ukikumbuka ulikopwa pia ndio uchungu maradufu.
Mi nakutamania, Ila ungeonja ndoa japo kidogo ingependezaYaani sina jinsi kabisa....
More than total desperate full depressed na stress Mia Mia kila siku nyuzi za Mahaba hadi natia huruma....
Maskini Kasinde wanna JF wanamsikitikia na kumuonea huruma looh.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Aone kauso kangu tuu jamani
Toka asubuhi hajakaona ujue!