Unataka uone nini etiNiadd na mm basi kwenye video kolu
We dada usinifanyie hivyoHebu tulia na mumeo hukoo
Aah kabisa, ili nami nikiwakuta wanasimulia nibakie tu "yaani acha tu"!!!Hahaha shurti na wewe uingie ndani upate experience yako
Kunauma acha tu, akili haitulii unahisi tu kuna mahali zinaenda. Unakutana na mama injili Heaven Sent anaongea barabarani peke yake kumbe ni mkopo huo[emoji23]
Hahahhah mama mchungaji huyu kibokoNa sadaka ya kumfuta mama mchungaji machozi.
Hahaha hahaha hahaha hahaha. Tupande mbegu kabisaaa eehhNa sadaka ya kumfuta mama mchungaji machozi.
KhaaaaWe dada usinifanyie hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au unakuwa Joyce kiria unayamwaga tu hadharani
Jamani kwani mnafanyaje uko si niongee na mchumba ako na mmUnataka uone nini eti
KhaaaaJamani kwani mnafanyaje uko si niongee na mchumba ako na mm
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ile nusu uchizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana aisee ile isinikute kwakweli.
Ili umuonyeshe nini? Sitaki kuja kutiwa aibu na mambo ya Zari ze bosi lede mimi.Hapana jamanii
Ndo tunapiga video kolu
Ndio ukimuendekeza mwisho anatumia mabavu, mie akuuuu.
Niadd basi mpendwa wangu katika bwanaKhaaaa
Aone kauso kangu tuu jamaniIli umuonyeshe nini? Sitaki kuja kutiwa aibu na mambo ya Zari ze bosi lede mimi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha pambaff zako. Kwa kweli maisha yalijua kuninyoosha miss independent