Mada maalum kwa wanandoa

Mshana asante kwa huu uzi jamani. Leo mejifunza mengi sana!

Wanandoa naomba mkalee ndoa sasa! Hapa sio salama tena kwa afya ya ndoa zenu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona unatufukuza
 
Yaani sina jinsi kabisa....
More than total desperate full depressed na stress Mia Mia kila siku nyuzi za Mahaba hadi natia huruma....

Maskini Kasinde wanna JF wanamsikitikia na kumuonea huruma looh.
Mi nakutamania, Ila ungeonja ndoa japo kidogo ingependeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…