We mi muoga sana hasa kwenye vitu vya watuHahhaha toka lini umekuwa muoga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We jitie kichwani una mafinyefinye, yakikukuta zitkaurudi tu.
Tunaondokaje kwa mfano eti uzi wetu huuNaenda
Nasubiria wanandoa muondoke
Nani huyo
Hivyo hivyo.Jamani
Sasa unaanzajee.... Babe naomba hela
Sasa kwa nn uingilie kati eti
Nadhani kwenye ndoa mkiwa mnatoana 'out' inapunguza mambo mengi sana,sasa unakuta bi. mkubwa alipokuwa binti 'out' zilikuwa nyingi,ameanza kuchuja (mtoto 1,2,3 n.k) hakuna 'out' hapo lazima utengeneze bomu tu.Jamani tuende nao 'out' ata kama wamezeeka,itasaidia sana.
Sasa nikiitaja zawadi unaweza ukaahirisha kuja kuchukuaMambo ya surprise ya watoto haya na mvi zangu uniletee masurprise wapi na wapi
Anaanzaje kukunyima na wakati yeye ndio furaha yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani nikirudi one time kwa baba mchungaji kuomba ataninyima na tumeambiwa tusinyimane?
Na alituruhusu hadi sisi wenye ndoa za usiku.Tunaondokaje kwa mfano eti uzi wetu huu
Sasa mbona huwa unanisumbua
Sema bwana
ha ha ha ha kuliko kuchepuka bora utoke nae out
Sasa sakayo kwa nn anatufukuzaNa alituruhusu hadi sisi wenye ndoa za usiku.
Nikimaliza namwambia "pepo shindwaaaa"!! Then nasepa narudi kwenye kongamano.Anaanzaje kukunyima na wakati yeye ndio furaha yake
Ashaanza kuchizika, we unadhani kukopwa mchezo. Usikae nae mbali, ukiona analiangalia sana kopo umstue.Sasa sakayo kwa nn anatufukuza
Hhaahahahha hivyohivyo auntieNikimaliza namwambia "pepo shindwaaaa"!! Then nasepa narudi kwenye kongamano.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ashaanza kuchizika, we unadhani kukopwa mchezo. Usikae nae mbali, ukiona analiangalia sana kopo umstue.
Mfyuuuu hujui yalipoanzia ujue sijaachika mie wala sijakimbia kwenye ndoa