Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

Hela ya kula shida halafu uende out
Nadhani kwenye ndoa mkiwa mnatoana 'out' inapunguza mambo mengi sana,sasa unakuta bi. mkubwa alipokuwa binti 'out' zilikuwa nyingi,ameanza kuchuja (mtoto 1,2,3 n.k) hakuna 'out' hapo lazima utengeneze bomu tu.Jamani tuende nao 'out' ata kama wamezeeka,itasaidia sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom