Kamata Uber kwa bill yangu...Asa hapo unzingua mchepuko wangu... Nauli ya kuja huko laki!
Yani mtoa mada,kama ulikuwepo vile,ndoa sio lelemama.
Ila naona wanaume kwenye ndoa ndo waharibifu kuliko sisi wanawake,,hawachukulii kwa uzito hata ukiongea vipi ,anakaa siku mbili tatu kero iko palepale,
Umelenga mule muleKwenye ndoa kuna mambo mengi sana.
Kuna wakati mkeo anakuwa rafiki yako.
Wakati mwingine anakuwa adui yako.
Wakati mwingine anakuwa boss wako vice versa is also true.
Wakati mwingine mume unakuwa polisi na mke mfungwa vice versa is also true
Wakati mwingine chumbani kunageuka ulingo wa masumbwi na watoto washangiliaji
Wakati mwingine mnakuwa majirani kila mtu hajui kinachoendelea kwa jirani yake
Wakati mwingine mnakuwa mtu mmoja indivisible being
Wakati mwingine mmoja anakuwa Mtoto na mwingine ni mzazi.
Na haya ndiyo huwa maisha yetu ya kila siku ndoani.
Asikwambie mtu hakuna Kitu kinachoongeza heshima na hadhi ya mtu kama ndoa.
Onyo. Usiulizie matumizi ya hela za mkeo jifanye huoni yanayoendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndio hapo sasa!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Me najua upo kwenye video kolu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wanaume jamani sijui kwanini hamuonei uchungu hela kwenye masanga...huyo dada ana tabia kama zangu yaani outing nzima naipigia mahesabu matokeo narud nyumbani na mawazo badala ya raha [emoji23][emoji23][emoji23]Nilishawahi mara nyingi tu, sema mkifika huko baada ya nusu saa anaanza kuboa na raha yote inakuwa karaha, utasikia ohoo mbona kama tunapoteza tu hela, siturudi tu nyumbani, mara mbona pesa ya kulipa hela ya bima ya gari unasema huna mpaka tunatembea nalo usiku tu kama wanga alafu hapa tunazipoteza tu bure, mtu gani huna mipangilio ya expenditure zako ! Dah yani kero zinakuwa nyingi mpaka naamuua kwa hasira turudi tu home kwani hapo nakuwa nshakwazika sana.
Kheee uber uko mkoani hakunaKamata Uber kwa bill yangu...
Au video kolu imekatikaSi ndio hapo sasa!!
Funguka rafiki manengelo na pole sana kwa kuumia kiasi hicho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini si ni kweli mahari alitoa?
Nani kakuambia yuko mkoani??? Tumeachana tu jioni hii hapo Kimara...Kheee uber uko mkoani hakuna
We vipiiiiiii
Nyie mnapendana. Muyajenge sasa
Itakuwa netiweki haiweki.Au video kolu imekatika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]From wife to single mom(ambao jf wanasemwa sana) - kumbukeni kuna siku nilikuwa mke halali wa mtu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
From wife to single mom(ambao wanasemwa sana) - kumbukeni kuna siku nilikuwa mke halali wa mtu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ss mahari kitu gan humpi.care yyt mke wako[emoji849]
Umeliwa babuNani kakuambia yuko mkoani??? Tumeachana tu jioni hii hapo Kimara...
Hahaha yaaani weweKamata Uber kwa bill yangu...