Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

Jinsia zote waharibifu utasikia mume akitoka kazini naenda zangu bar kunywa na kula nyama hadi tano au sita kisha nkaweke mbavu home yule mwanamke kisirani sana atazua ugomvi na mifano mengine chungu nzima hata humu imo.

Yani mtoa mada,kama ulikuwepo vile,ndoa sio lelemama.
Ila naona wanaume kwenye ndoa ndo waharibifu kuliko sisi wanawake,,hawachukulii kwa uzito hata ukiongea vipi ,anakaa siku mbili tatu kero iko palepale,
 
Kwenye ndoa kuna mambo mengi sana.
Kuna wakati mkeo anakuwa rafiki yako.
Wakati mwingine anakuwa adui yako.
Wakati mwingine anakuwa boss wako vice versa is also true.

Wakati mwingine mume unakuwa polisi na mke mfungwa vice versa is also true
Wakati mwingine chumbani kunageuka ulingo wa masumbwi na watoto washangiliaji

Wakati mwingine mnakuwa majirani kila mtu hajui kinachoendelea kwa jirani yake

Wakati mwingine mnakuwa mtu mmoja indivisible being

Wakati mwingine mmoja anakuwa Mtoto na mwingine ni mzazi.

Na haya ndiyo huwa maisha yetu ya kila siku ndoani.

Asikwambie mtu hakuna Kitu kinachoongeza heshima na hadhi ya mtu kama ndoa.

Onyo. Usiulizie matumizi ya hela za mkeo jifanye huoni yanayoendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umelenga mule mule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishawahi mara nyingi tu, sema mkifika huko baada ya nusu saa anaanza kuboa na raha yote inakuwa karaha, utasikia ohoo mbona kama tunapoteza tu hela, siturudi tu nyumbani, mara mbona pesa ya kulipa hela ya bima ya gari unasema huna mpaka tunatembea nalo usiku tu kama wanga alafu hapa tunazipoteza tu bure, mtu gani huna mipangilio ya expenditure zako ! Dah yani kero zinakuwa nyingi mpaka naamuua kwa hasira turudi tu home kwani hapo nakuwa nshakwazika sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wanaume jamani sijui kwanini hamuonei uchungu hela kwenye masanga...huyo dada ana tabia kama zangu yaani outing nzima naipigia mahesabu matokeo narud nyumbani na mawazo badala ya raha [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
From wife to single mom(ambao jf wanasemwa sana) - kumbukeni kuna siku nilikuwa mke halali wa mtu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]



Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Karibu chamani.
 
Duh! Pole sana inaelekea bado una maumivu makubwa ya kuachwa na aliyekuwa mumeo ulimpenda sana, lakini kuendelea kulia haitakusaidia bali kuendeleza majonzi yako. Pole sana.

From wife to single mom(ambao wanasemwa sana) - kumbukeni kuna siku nilikuwa mke halali wa mtu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom