Hapa navuta muda bar ya Jirani yani nicoment nisicoment moto lazima uwakeHahahahahahahaha ina maana unayotaka kuyaandika hatafurahia kuyasoma, lakini kishakupata hivyo kaa tayari tayari kuulizwa kuhusu kushindwa kwako kuchangia maana yangekuwa ni mazuri basi ungetiririka.
Nikikukamataaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we kaka ebu nipumzishe kidogo
Hapa navuta muda bar ya Jirani yani nicoment nisicoment moto lazima uwake
Sent using Jamii Forums mobile app
DuuuNipo ndani ya ndoa kwa miaka 16 sasa. 80% ya maisha ndani ya ndoa sijawahi kuwa na furaha.
Nilichogundua. Kuoa ni kuamua kumiliki mtu. Tena mwenye akili zake. Ni shida kwa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Am not sure, sijawahi jaribu [emoji1]
Hahahahahahaha bado unawaza na kuwazua Mkuu. Tiririka huwezi jua mwenzio akikusoma labda inaweza kuleta ahueni kwenye ndoa yenu kwa kuyamaliza yanayokukera na labda yanayomkera yeye pia.
Ni sawa tu. Sio kila mtu ataingia ndoani
Kusameheana muhimu sana hasa kama mna watoto pamoja na umesema anatia huruma labda hawezi kurudia kosa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa sauti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata sms nisingejibu maana watakuwa wamehack acount yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ndio ajilewee tu akilewa usingizi unakuja asubuhi unaanza upyaaaaBora ajilipue tu na kinywaji kidogo....pombe sometimes inasaidia asee, vinginevyo akili inaganda[emoji10][emoji10]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini jamani mshipa wa watu eti mm nakupenda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mdada gani mwingine ebu acha kunisemea uongoYaaani shunie ndio zake nikiongea tu na mdada vizuri anakuja kuongea uwongo mpaka basi
Sent using Jamii Forums mobile app