Loh pole, huyo mke likua naye kwa muda gani kabla hujamuoa?? Dini imesema mathna kuanzia wake wawili mkuu dawa ya mwanamke jeuri muongezee mwenzie atanyooka
Vizuri my dear. HongeraDadii sio mume wa mtu, yeye ni dirvocee. Hatujawahi kuongelea ndoa sababu kwanza tunaishi nchi mbalimbali, tunakutana kipindi cha likizo na nikiwa off.
Ndoa ni uhalalisho tuu kuwa huyu mume na mke sasa wakionekana mahali wanasuguana hakuna wa kuuliza. Ila kama hatuhalalishi, haimaanishi hatupendani.
Ndoa ni kitanzi au kifungo, kama hamjafunga ndoa mnakuwa huru, ukinizingua nasepa huruu nae akiona namzingua anasepa ila tukiona tuliachana kwa hasira ila baada ya hasira kuisha mioyo inatakana, tunarejeana kwa Mahaba yote.
Macomplication hayo ndo kero tusizozitaka.
Chamuhimu tunapeana, tunaheshimiana, tunapendana upeo.
Mahaba Mia Mia.
Kasinde.
Hayo magumu ndio ya muhimuUna maswali magumu wewe, kwanini usimuulize hata kwani dadii mnakaa mkoa mmoja?
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji144][emoji144][emoji144]ndoa ni ibada... Ni mojawapo ya ibada kuu tatu"Kama ningekuwa nina jua nakufa kesho na huku sijaoa,basi ningehakikisha nina oa kwanza kabla sijafa." Yaani nife hali ya kuwa niko ndoani.
Nipo ....
Sikudolishii ila ..... Dadii ni zaidi ya treasure.....
Jana nimemuomba, Dadii naomba niimbie wimbo unibembeleze..... weeeh
Nikashushiwa verses hizoo na vocal sasa......
Nna raha mie acha tuu niweke nyuzi za Mahaba kila leo, kila siku Mahaba mapya.
Nampenda sana Dadii wangu katu simuachi asilani.
Mabusu tele tele kwake.
Wapi huko
Asante mangi mzima wewe
Kasie wa dadiiDadii sio mume wa mtu, yeye ni dirvocee. Hatujawahi kuongelea ndoa sababu kwanza tunaishi nchi mbalimbali, tunakutana kipindi cha likizo na nikiwa off.
Ndoa ni uhalalisho tuu kuwa huyu mume na mke sasa wakionekana mahali wanasuguana hakuna wa kuuliza. Ila kama hatuhalalishi, haimaanishi hatupendani.
Ndoa ni kitanzi au kifungo, kama hamjafunga ndoa mnakuwa huru, ukinizingua nasepa huruu nae akiona namzingua anasepa ila tukiona tuliachana kwa hasira ila baada ya hasira kuisha mioyo inatakana, tunarejeana kwa Mahaba yote.
Macomplication hayo ndo kero tusizozitaka.
Chamuhimu tunapeana, tunaheshimiana, tunapendana upeo.
Mahaba Mia Mia.
Kasinde.
Umuombe Mungu ugundue au njemba zitajilia wala usigundue chochote ana cover kila kona vizuri sana.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Hatimaye nimesoma posts zote...wtf??
Ukisoma hivi kila siku lazima nyongo ijae mwilini, sitaki kusoma vitu hasi namna hii, havijengi ni kubomoa tu mwanzo mwisho, japo kuna funzo pia tunapata.
Tufanyie kazi mahusiano yetu, huwa naamini hakuna maisha marahisi, uwe single, umeoa/kuolewa, uwe mtawa, divorcee, ishi na dada/kaka zako. Maisha ni fumbo, haturidhiki sisi wanadamu.
Naishi jinsi nilivyochagua, najaribu kufanya compromise ili hata nisiyopenda niendane na mwenzangu. Life's too short to yell all the time!!
Thanx Mshana Jr, bango zuri...