Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

"Kama ningekuwa nina jua nakufa kesho na huku sijaoa,basi ningehakikisha nina oa kwanza kabla sijafa." Yaani nife hali ya kuwa niko ndoani.

Nipo ....
 
Loh pole, huyo mke likua naye kwa muda gani kabla hujamuoa?? Dini imesema mathna kuanzia wake wawili mkuu dawa ya mwanamke jeuri muongezee mwenzie atanyooka

Ndo ninachofikiria hv sasa, yaani ndoa ina miezi miwili tu...!!! Daah...!
 
Dadii sio mume wa mtu, yeye ni dirvocee. Hatujawahi kuongelea ndoa sababu kwanza tunaishi nchi mbalimbali, tunakutana kipindi cha likizo na nikiwa off.

Ndoa ni uhalalisho tuu kuwa huyu mume na mke sasa wakionekana mahali wanasuguana hakuna wa kuuliza. Ila kama hatuhalalishi, haimaanishi hatupendani.

Ndoa ni kitanzi au kifungo, kama hamjafunga ndoa mnakuwa huru, ukinizingua nasepa huruu nae akiona namzingua anasepa ila tukiona tuliachana kwa hasira ila baada ya hasira kuisha mioyo inatakana, tunarejeana kwa Mahaba yote.

Macomplication hayo ndo kero tusizozitaka.

Chamuhimu tunapeana, tunaheshimiana, tunapendana upeo.
Mahaba Mia Mia.

Kasinde.
Vizuri my dear. Hongera
 
Kiapo cha ndoa
tapatalk_1548219012352.jpeg


Jr[emoji769]
 
"Kama ningekuwa nina jua nakufa kesho na huku sijaoa,basi ningehakikisha nina oa kwanza kabla sijafa." Yaani nife hali ya kuwa niko ndoani.

Nipo ....
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji144][emoji144][emoji144]ndoa ni ibada... Ni mojawapo ya ibada kuu tatu

Jr[emoji769]
 
Hatimaye nimesoma posts zote...wtf??

Ukisoma hivi kila siku lazima nyongo ijae mwilini, sitaki kusoma vitu hasi namna hii, havijengi ni kubomoa tu mwanzo mwisho, japo kuna funzo pia tunapata.

Tufanyie kazi mahusiano yetu, huwa naamini hakuna maisha marahisi, uwe single, umeoa/kuolewa, uwe mtawa, divorcee, ishi na dada/kaka zako. Maisha ni fumbo, haturidhiki sisi wanadamu.

Naishi jinsi nilivyochagua, najaribu kufanya compromise ili hata nisiyopenda niendane na mwenzangu. Life's too short to yell all the time!!
Thanx Mshana Jr, bango zuri...
 
Sikudolishii ila ..... Dadii ni zaidi ya treasure.....

Jana nimemuomba, Dadii naomba niimbie wimbo unibembeleze..... weeeh

Nikashushiwa verses hizoo na vocal sasa......

Nna raha mie acha tuu niweke nyuzi za Mahaba kila leo, kila siku Mahaba mapya.

Nampenda sana Dadii wangu katu simuachi asilani.

Mabusu tele tele kwake.

Oooh lala Love in the air...........😉😉
 
Dadii sio mume wa mtu, yeye ni dirvocee. Hatujawahi kuongelea ndoa sababu kwanza tunaishi nchi mbalimbali, tunakutana kipindi cha likizo na nikiwa off.

Ndoa ni uhalalisho tuu kuwa huyu mume na mke sasa wakionekana mahali wanasuguana hakuna wa kuuliza. Ila kama hatuhalalishi, haimaanishi hatupendani.

Ndoa ni kitanzi au kifungo, kama hamjafunga ndoa mnakuwa huru, ukinizingua nasepa huruu nae akiona namzingua anasepa ila tukiona tuliachana kwa hasira ila baada ya hasira kuisha mioyo inatakana, tunarejeana kwa Mahaba yote.

Macomplication hayo ndo kero tusizozitaka.

Chamuhimu tunapeana, tunaheshimiana, tunapendana upeo.
Mahaba Mia Mia.

Kasinde.
Kasie wa dadii
 
Hatimaye nimesoma posts zote...wtf??

Ukisoma hivi kila siku lazima nyongo ijae mwilini, sitaki kusoma vitu hasi namna hii, havijengi ni kubomoa tu mwanzo mwisho, japo kuna funzo pia tunapata.

Tufanyie kazi mahusiano yetu, huwa naamini hakuna maisha marahisi, uwe single, umeoa/kuolewa, uwe mtawa, divorcee, ishi na dada/kaka zako. Maisha ni fumbo, haturidhiki sisi wanadamu.

Naishi jinsi nilivyochagua, najaribu kufanya compromise ili hata nisiyopenda niendane na mwenzangu. Life's too short to yell all the time!!
Thanx Mshana Jr, bango zuri...
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom