Mada maalum kwa wanandoa

Vipi aliogopa Nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoa yako vipi mamaaa???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka 50 pumzi imekata??? Utakuwa mwanaume wa dar wewe,piga zoezi mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Thank you very much, I am here my dear but I'm glad to see you again 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
 
Reactions: BAK
Thank you πŸ™πŸ½ πŸ‘πŸ½

Thank you very much, I am here my dear but I'm glad to see you again 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
 
upadate na walio owana salamaa ila ndani ya ndoa waka unyaka na magonjwa mengine
 
Ni kweli kabisa iko siku utafanya kosa na mtu machale kumcheza.
Thank you very much, I am here my dear but I'm glad to see you again [emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji257]
Thank you [emoji1431] [emoji1417]
Kuna dalili njema naziona hapa[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]

Jr[emoji769]
 
Hakika ni balaaa

Ndoa kweli ni Pingu za maisha.....

Wengi ni wafungwa / mateka huru kwa kukubali kuwa mke au mume wa MTU.


Mwenyezimingu atusaidie kwa kweli....

Madhehebu ya dini zisaidie kutengeneza maadili ya watoto, vijana na watu wazima.. Makundi yote yafundishwe na yawe na hofu ya Mungu......


Wazazi wajitaidi kuwalea watoto kwa kuzingatia maadili.....

Jamii iachane na mitazamo hasi juu ya ndoa na maisha ya ndoa.......

Serekali itimize wajibu wake ktk kusimamia maadili na malezi ya watoto na vijana


Bila mabadiliko hali ya ndoa nyingi uko tuendako itakuwa ya kutisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…