ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Nimekaa huku nyuma kabisa, geuka utanionanipo magomeni kanisani[emoji4]!acha kelele bas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekaa huku nyuma kabisa, geuka utanionanipo magomeni kanisani[emoji4]!acha kelele bas
😅😅 ngoja nigeuke...nimebana kidoti miè..nimevaa maroon dress😊Nimekaa huku nyuma kabisa, geuka utaniona
nimekuona..fanya kunitolea sadaka huko huko😅😅 nitakulipa..mie sina chenji😁😁😁😁Nimekaa huku nyuma kabisa, geuka utaniona
Yaani duh very sorry rafiki for what happened ndiyo maana kipindi fulani nilikuwa sikuoni ukiwa active...I pray mambo yako yaende sawa...asante
Yaani duh very sorry rafiki for what happened ndiyo maana kipindi fulani nilikuwa sikuoni ukiwa active...I pray mambo yako yaende sawa...
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Asante sana mkuu...karibuHekima, nafualia kwa karibu comments zako mkuu, zinajenga aisee! Ubarikiwe!
Kuliko maisha ya hivyo...Best si umesoma mambo magumu asee? Mbona maisha yanakuwa magumu hivi, yaani umeamua kuishi na mtu halafu mnakuwa mabondia, mabubu na wanafiki tu ndani..dadeq asee
Daah aisee, maisha ya ndoa 90% ni majukumu ndo maana, mapenzi ndo hizo asilimia chache zilizobakiPole mkuu, hizi ndoa sijui zina nin siku hizi, hapa Nina mwaka mmoja ndoani , lakini I wish nisingeoa, naona kama niliwahi sana kuoa, yaani I am cornerd, napenda kuwa ndoani, lakini sio na mwanamke huyo!
hahahahaNipo ndani ya ndoa kwa miaka 16 sasa. 80% ya maisha ndani ya ndoa sijawahi kuwa na furaha.
Nilichogundua. Kuoa ni kuamua kumiliki mtu. Tena mwenye akili zake. Ni shida kwa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mtu anayekaa ushauri na hakuna mtu asiyetaka maendeleo ya familia yake awe mme au mke ila kumbuka ndani ya familia tunaitaji faraja na kufurahia maisha pia huwezi sema tusinywe soda nyumbani et sababu kuna ada za watoto zinakuja mbele yetu gari ni nini wangapi wanaishi bila gari na wanafurahia maisha tatizo wanawake wengi ubishi nakujiona mnafanya vitu kiusahihi, ni lazima tufurahishe nafsi zetu pamoja ata kama kuna changamoto nyingi za kimaisha zinatuandama kumbuka izi ni Mali tu utakufa utaziacha kwañn usifurahie mmeo anapokuletea zawadi au kukutoa out ww wasema anapoteza pesa mkiachwa kutolewa out mnalalamika nyie hamjui mnachokitakaAkili matope, hivi akili gani hizi?
Yaan umepata mke anakushauri maendeleo na vitu vya msingi unalalamika?
Mwanamke anakushauri kupunguza matumizi mabaya ya pesa ufanye vya maana unakasirika unaona hafai?
Hivi ungepata mke komba akifika hapo anagida pombe mpaka senti ya mwisho ndiyo ungefurahi??
Anakushauri punguza matumizi ulipie bima uwe free kudrive muda wote unakasirika? Hivi hata huo usiku ukipata ajali itakuwaje? Bado hujaona alichokiona mke hapo??
Grow up guys, siongeagi vibaya lakini hapa utanisamehe!! Kwa statement hiyo uliyotoa hapo bado huna akili ya kuoa!!
Kweli tumuombee tu aolewe ila pia tumuombee asiende na mtazamo huo coz ndoa yake haitadumuMm namuombea sana aolewe haraka sana haya ya kugombana na kuondoka mbona sisi kwetu wanawake kawaida tu mwisho wa siku mnayamaliza mnarudi kama zamani.
Haya anayopitia manengelo ni mapito tu na yatapita na atarudi kuishi na mumewe kama zamani na kulea watoto wao vizuri.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125]Wewe
Niko ndoani mwaka wa kumi huu! Huwa naamini kile moyo wangu unachoniambia! Amani yangu na watoto wangu kwanzaaa kama Mungu akinijaalia watoto!
Hakuna ambaye hajawahi kukaa bila amani walau siku mojaYapoje eti
Haaaaaa, BAK ni rafiki yangu sanaaa lkn urafiki wa kawaidaaa tu kama Kaka na Dada vileeeeeSi jambo baya wawili wanapojenga nia ya kuwa mwili mmoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
Vinaanziaga huko, baadae sharing inakuwa too close halafu kunakuja viutani fulani, kusaidiana, vizawadi halafu kinafuatia kumisiana... Baada ya hapo...Haaaaaa, BAK ni rafiki yangu sanaaa lkn urafiki wa kawaidaaa tu kama Kaka na Dada vileeeee
Nini eti
Utamu wake upoje?!
Niolewe mara ya ngapi jamaniiKweli tumuombee tu aolewe ila pia tumuombee asiende na mtazamo huo coz ndoa yake haitadumu
Sakayo
Sent using Jamii Forums mobile app