Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Wapo wanaotafuta hata mitala wanakosa mkuu. Nipongeze hebuMitala
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wanaotafuta hata mitala wanakosa mkuu. Nipongeze hebuMitala
Jr[emoji769]
"Furaha inaanza na wewe mwenyewe", pointi ya msingi hii best. Huenda wengi tunakuwa na maisha magumu, hatuna furaha wala amani tukiwa single, tunatafuta ndoa ili tupate amani..wrong!!Kuliko maisha ya hivyo...
Bora uishi mwenyewe asee japo ngumu
Halafu furaha inaanza na wewe mwenyewe ujue!...ukishalielewa hili unakuwa na amani ajabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Experience speaks louder mkuu, unatoa madini tu hapa..[emoji120]
Ujue ukiwa mmoja tu... akili ya me haitulii kabisa, ni vile tu hamjuagiYani mtoa mada,kama ulikuwepo vile,ndoa sio lelemama.
Ila naona wanaume kwenye ndoa ndo waharibifu kuliko sisi wanawake,,hawachukulii kwa uzito hata ukiongea vipi ,anakaa siku mbili tatu kero iko palepale,
Well said...but ukibahatika mahusiano yako yakawa bien....komaa hapo hapo, coz unakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja, unafurahia maisha yako binafsi na unafurahia maisha na mwenzio, what's lucky?...yummy yummy[emoji8][emoji8][emoji8]"Furaha inaanza na wewe mwenyewe", pointi ya msingi hii best. Huenda wengi tunakuwa na maisha magumu, hatuna furaha wala amani tukiwa single, tunatafuta ndoa ili tupate amani..wrong!!
Ongea naye kwa upole kwa tuo kwa upendo atafungukaDuu mwenzenu January inakaribia kuisha sjaona tabasamu la wife muda wote kanuna nifanyeje jaman me napenda awe nafuraha hata ya kinafik
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji848][emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji123]
Jr[emoji769]
Amen...Nikutakie Jumapili ya baraka na furaha
Jr[emoji769]
Kuna passion of love na kuna maisha ya ndoa, usipoenda kwa akili unaishia talakaKuoa ni kufuta nyimbo zote kwenye memory card kisha ubakize wimbo mmoja tu ambao unatakiwa uusikilize kila siku.
Siyo jambo dogo lakini hebu bakiza wimbo wa taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika... Kwenye maombi hakuna linaloshindikana. Mungu atazifunika kwa damu yakeTukumbuke pia kuziombea ndoa zetu... Hakuna kitu kinauma kama talaka
Jr[emoji769]
Epuka ndoa za uchumba wa miezi 5 hazidumuYani mtoa mada,kama ulikuwepo vile,ndoa sio lelemama.
Ila naona wanaume kwenye ndoa ndo waharibifu kuliko sisi wanawake,,hawachukulii kwa uzito hata ukiongea vipi ,anakaa siku mbili tatu kero iko palepale,