Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji851][emoji851][emoji851]wee jamaa mke wako anapata shida daaaah!
Yaan ni unamtaftia kila aina ya sababu haahaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Doooh hatari hiiiPole mkuu, hizi ndoa sijui zina nin siku hizi, hapa Nina mwaka mmoja ndoani , lakini I wish nisingeoa, naona kama niliwahi sana kuoa, yaani I am cornerd, napenda kuwa ndoani, lakini sio na mwanamke huyo!
Darasa linaanza lini, mwanafunzi ana haraka kuliko upesi 😀Takufundisha uwe mjuzi[emoji85][emoji85][emoji85]
Jr[emoji769]
😛😛 je nikianza kusinzia itakuwaje sasa???[emoji23][emoji23][emoji23]leo usiku[emoji85]
Jr[emoji769]
Ww ni he or she sorry kwa swali mkuuMi nimekua kwenye uchumba kwa miaka 3 na niko kwenye ndoa lakini bado naona kama simjui vizur..ni msiri sana.ila natamani nimjue hasa kwa sasa ambako nahis sio mwaminifu..na simu yake anaichunga sana.i wish ningekua tcra
@sakayo unajua hatari ya kutoshika simu ya mpenzi wako lakin?Achana na hiyo simu yake, ukianza kuchokonoa huko utakuwa umeichoka amani
Tehehehe nitajikuta kila siku nawaza kulala badala ya kufundishwaKuna kitanda cha wageni[emoji85]
Jr[emoji769]
Najua athari ya kuishika tuu mkuu
Kazi na uvivu sasa hiyo bwana[emoji23][emoji23][emoji23]inaitwa kazi na dawa[emoji15][emoji39][emoji85][emoji848]
Jr[emoji769]
Teh, teh nilikuwa natafuta sana nijue ulivojibuNajua athari ya kuishika tuu mkuu
Hahaha hahaha
Nawashauri waoane mwanaume akiwa 35+ na mwanamke akiwa 30+... Hapo kila mmoja ana uzoefu wa mapenzi ups and downsMkuu hizi ndoa zetu za kidijitali ni maumivu tupu. Vjana ambao bado hamjaoa msikilubali kuingia kwenye kifungo hiki cha maisha. Kula maisha kwanza, msijitie nira ya ndoa itawazeesha kabla ya umri wa uzee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu huyo ni expert mkuu hukutumia uwezo mbadala kumjua huyo dada au hizi mambo zilikua bado hazijakukaa[emoji1] [emoji1]Trust me it takes that much time to know at least half of the whole sickness.... Ni baada ya hapo utaamua uingie ama utoke..
Ni katika hicho kipindi utagundua mengi ambayo hajakusimulia binafsi
Ujanani kabla sijaoa nikiwa kwenye harakati za kutafuta mwenza.... Nikaingia chaka ambalo sitakaa nilisahau... Kuna wanawake ni malaya duniani lakini yule ilikuwa zaidi ya umalaya
Mwanamke kuzunguka kwa wanaume watano ndani ya saa 6 ni rekodi ya kipekee mno... Mimi nikiwa no 5 kuna no 6 ilikuwa inasubiri... Nilipiga karibia kuua
Jr[emoji769]