Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

Outing ni muhimu bana hata kwa wana ndoa mtajifungia ndani 24/7/365? Leo mnaenda movie, club, lunch, dinner, beach na vacation kama pesa inaruhusu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wanaume jamani sijui kwanini hamuonei uchungu hela kwenye masanga...huyo dada ana tabia kama zangu yaani outing nzima naipigia mahesabu matokeo narud nyumbani na mawazo badala ya raha [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom