Nipo sehemu ambayo siwezi kuandika Thread ndefu ila nitakuja kuandika as I promised earlier.Malizia story mjukuu yupo tuu
Nina mtunungu babuuuh, matashititi hapa ndo kwake.Una ulimbo wewe[emoji3]
Aisee hili ni kweli kabisa ila naona wahusika wakuu hawajawasili hapa kuna uonevu mkubwa kwenye hii sekta matusi na kashfa toka kwa matajiriMjomba Mshana Jr sijaona watu wakichangia changamoto kubwa wanazokutana nazo madereva wa magari ya mafuta(Tanker).
Namna wanavyopata short katika mzigo wanaobeba, kukatwa pesa na wengine wanawekwa ndani.
International TransitSamahani kidogo, nje ya mada...
Hivi gari za IT ndio gari gani hizo? Hiyo "IT" kirefu chake nini?
Babuuuh mie mjukuu wako nakupenda pia,Mdogo mdogo bado nakupenda sana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mf?International Transit
TunasubiriNipo sehemu ambayo siwezi kuandika Thread ndefu ila nitakuja kuandika as I promised earlier.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poapoa unapiga mitambo gani? Loader ? Back hoe? Excavator?Sijaona wanzangu wa mitambo humu. Niliwai kukutana na mashine moja kuiwasha had uispray dawa ya mbu kwenye injini ndio iwake na hapo upo pori
Connection ya operator wa excavator jaman kama unayo
Na deal na excavator tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poapoa unapiga mitambo gani? Loader ? Back hoe? Excavator?
[emoji848]
Aaah, ilikuwa Caterpillar nini. Ukapuliza spray kwenye Air Cleaner.Sijaona wanzangu wa mitambo humu. Niliwai kukutana na mashine moja kuiwasha had uispray dawa ya mbu kwenye injini ndio iwake na hapo upo pori
Connection ya operator wa excavator jaman kama unayo
Siyo kweliMadereva wale wa masafa wanatumia sana ndumba mkuu.