Mada Maalum ya Madereva: Changamoto, Uzoefu, Vituko na Connections

Wakat huo mie nipo pemben naona kila kitu na kusikia hahahaha ocs akasepa,, jamaa akanilushia funguo kwa hasira na kunifukuza nisonekane pale hahahaha,, kwakuwa ilikuwa njia yang ya nenda lud nilikuwa nalud mara nying nying ko wakiniona tu nakuja!! wana sema yulee muzush mfunguli gat apite,, hahaha mwisho wa siku nikawa rafiki zao sana!,, sikusumbuliwa tena hahahahaha,,enz za jk hizo daa!..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna kero kubwa ya barabarani kwa waendesha magari kama:

1. Wazee wa favor, kusimamisha simamisha tu magari

2. Waendesha bodaboda na bajaj

3. Matumizi ya barabara kuendesha biashara pembezoni na kugeuza parking za waendesha bodaboda na bajaj
 
3. Matumizi ya barabara kuendesha biashara pembezoni na kugeuza parking za waendesha bodaboda na bajaj[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Hili linaweza kukomeshwa sasa...PENGINE...!!!
 
Kuna watu wana bahati zao. Mm hiyo IT nimetafuta channel mpaka nimekata taamaa. Bila agent au dereva anaekujua ni ngumu kupata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…