Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Dah Mshana hizi earth road zamani sana.
Location yako? Na kama hutojali umri wakoHabari wadau wa jukwaa hili?naitwa Godfrey ni dereva mzoefu ila conection za ajira ndo tatzo kwangu,nimesoma PSV na leseni yangu ina madaraja yoote isipokuwa la mabasi makubwa tu,hivyo kwa yeyoye mwenye chanel ya kazi asisite kunitaarifu kupitia namba 0754991764,asanteni kwa mada nzuri ubaoni wakuu!
Nipo Musoma,mkoa wa mara kakaLocation yako? Na kama hutojali umri wako
Miaka 36 nowNipo Musoma,mkoa wa mara kaka
Hii ndio iliondoka na roho za waandishi pamoja na dereva wa hyo STK alikuwa jirani yangu
Tena jamaa alikuwa wa jina languDah pole sana sana
Dah asee unaroho nzuri kumlamba makofi tu ,mi nimgemfungaNdo maana Matajiri wengi Wa magari ni makatili, Mjinga akiingiza Gari yangu mazingira kama haya lazima nimlambe makofi tu. Afu litalalamika limeonewa
Dereva alisinzia akajikuta anaamshwa na miti..