Mada Maalum ya Madereva: Changamoto, Uzoefu, Vituko na Connections

Huyo wa Fuso wangemkamata wamfunge kamba kwenye Fuso yake KILA abiria amlambe bakora tatu tatu Ili iwe funzo siku nyingine awe na adabu.

Madereva wa malori waelewa wakishaliona Basi tu kwa nyuma anakupisha anajua unawahi. Basi haliwezi kwenda mwendo wa lori Basi linatembea mwendo wa biashara sasa kama Fuso alimbania overtake wa Basi atembee kama Fuso bakora ndo adhabu yake.
 
Hii story umeianzia katikati mbona?

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Na mamlaka ziko kimya kabisa juu ya hili...Je kuna namna mamlaka zinafaidika kwa namna moja au nyingine? Rushwa kitengo cha usalama barabarani ni mfupa uliowashinda wote hata wale wanaojifanya ni wakali kabisa

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Tuwape mda coz limetokea soon wanakusanya ushahidi kwanza labda
 
Kumbe tukio lenyewe ni hili
Your browser is not able to display this video.
 
Asante kwa uzi mzuri.
Mm naomba mwenye connection au kujuana na wale ma agent au makampuni yanayotoa magari ya IT pale bandarini. Jana ni siku ya 3 naenda pale kwanzia asubuhi mpaka sita usiku bila mafanikio. Mm nidereva mwenye uzoefu wa miaka 10 kwa safari ndefu na fupi. Kazi yangu ya mwisho kufanya ni ya uber baada ya korona kuingia mwenye gari ali park gari yake na sasa kaitoa uber kabisa. Nategemea baada ya Noel kupita nirudi tena pale bandarini kujaribu tena. Asnte
 
Hapa uje ulete mrejesho
 
Nakumbuka siku nilipata ajali ambayo hata sielewi ilikuwaaje ghafla tu najikuta nipo kwenye mashamba ya mpunga tena kwenye mkondo wa maji,ile nashtuka nasikia watu wakisema kaua kaua kwa wenge nililopata nikatokea kwenye dirisha nikajitosa kwenye maji dahh!! hii siku siwezi isahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…