samsonmoses
Member
- Feb 9, 2017
- 40
- 53
Acha 2 kamanda fujo za hayo mabasi sio pouwa [emoji3] unajambishwa unachwa hapo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sorry imebidi nicheke
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha 2 kamanda fujo za hayo mabasi sio pouwa [emoji3] unajambishwa unachwa hapo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sorry imebidi nicheke
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Huyo na mwenzake asant arab ndo yanatamba barabara ya mwanza 2 arushaHili kiazi kitamu ni balaaa Sana gari linakimbia kama halijabeba watu
[emoji23][emoji23][emoji23]sometimes inakera na kutia hasira piaAcha 2 kamanda fujo za hayo mabasi sio pouwa [emoji3] unajambishwa unachwa hapo
Kama una hasira unaweza jibu mapigo ukaishia kudundwa na abiria kama yule dereva wa lori [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]sometimes inakera na kutia hasira pia
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Hamna tatizo, this weekend..Insha'Allah.
[emoji1545][emoji1545][emoji1548][emoji1536][emoji1534][emoji1534][emoji818][emoji322][emoji322][emoji322]Welcome back Mshana Jr..we miss u king of jf
Vipi kuhusu yale ma helmet yanayovaliwa na kila abiriaUjumbe kwa madereva wa bodaboda..
Muwe mnaoga na kufua hayo makoti/jackets zenu, mnafanya safari zetu kuwa ndefu.
Mnatupakiza na kutufikisha salama ila sasa tatizo harufu ya majasho na uvundo kutoka miilini na kwenye nguo zenu ni tabu tupu.
Kumbuka mie abiria nakaribiana na wewe kwa inch moja moja tu...hivo harufu yote naipata mimi wa nyuma
NB: Hii si kwa madereva wote.
Wengine ni wasafi na watanashati muda wote.
Mshana Jr we acha tu.Vipi kuhusu yale ma helmet yanayovaliwa na kila abiria
Wasafi
Wachafu
Wenye majasho
Wenye chawa, kunguni nk
Wenye upele na ukurutu
Wenye gundu....., janabhah...!
please share the linkKuna sehemu nimeiona hii,fursa kwa wanawake maderevaView attachment 1671532
[emoji1545][emoji1545][emoji1545] niliwahi kuvaa helmet Moro pale Msamvu nilikuwa naenfa SUA kufika narudisha helmet kwa dereva chawa akanidondokea kifuaniMshana Jr we acha tu.
Dereva anakupa helmet ukiiangalia humu pembeni kwa ndani kuna uchafu wa kutosha.
Ndio maana watu wengi wanasita kuvaa helmet japo ni nzuri kwa usalama wa abiria.
Pamoja na baadhi ya wadau kuwagaia madereva wa bodaboda helmet mbilimbili tena bure kabisa bila malipo, ila suala la usafi wa hizo helmet hawalizingatii kabisa.
Unashika kuivaa unakuta inanuka jasho, mafuta ya nywele au ina weusi...ndii maana vichwa vyetu vinawaka mashetani kila siku kutokana na kuvaa magundu na mabalaa ya wengine.
Tunavagaa mikosi ya wengine.
Mada nzuri sana hii Mshana Jr
Aisee....balaa sana.[emoji1545][emoji1545][emoji1545] niliwahi kuvaa helmet Moro pale Msamvu nilikuwa naenfa SUA kufika narudisha helmet kwa dereva chawa akanidondokea kifuani
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app