Mada Maalum ya Madereva: Changamoto, Uzoefu, Vituko na Connections

Mada Maalum ya Madereva: Changamoto, Uzoefu, Vituko na Connections

TANGAZO TANGAZO MUHIMU.
Katika ajali Lori iliyotokea jumatatu Maeneo ya Soni Halmashauri ya Bumbuli Kuna mwili mmoja bado haujatambuliwa.
NI kijana mwenye katiba umri wa miaka 26 hivi na inasemekana alipandia hambalawei Kata ya shume wilayani Lushoto
Hivyo kwa yeyote mwenye kumtambua au kupotelewa na ndugu yake wa kiume afike ofisi ya Mganga mkuu Lushoto.
Simu 0626790182/0626757209/0789649777
Sambaza ujue huu.
 
Falcon ya Dar _ Tarime imeingia nyuma ya roli bovu usiku huu ambalo halikua na ishara yoyote ya kuashiria ubovu wake.
Nawasihi madereva kuendelea kuwa makini sana mtumiapo vyombo hvi vya moto barabaran, mnagharimu maisha ya ndugu, wapendwa, marafiki na wengineo waliowaamini na kuwapa dhamana ya nyie kuwa beba na kuwapeleka makwao salama
.
NB:ONGEZEN UMAKIN
Screenshot_20220407-095841.jpg
 
Falcon ya Dar _ Tarime imeingia nyuma ya roli bovu usiku huu ambalo halikua na ishara yoyote ya kuashiria ubovu wake.
Nawasihi madereva kuendelea kuwa makini sana mtumiapo vyombo hvi vya moto barabaran, mnagharimu maisha ya ndugu, wapendwa, marafiki na wengineo waliowaamini na kuwapa dhamana ya nyie kuwa beba na kuwapeleka makwao salama
.
NB:ONGEZEN UMAKINView attachment 2178782
Haka kamwez kamechangamka kwa ajari
 
Habari za muda huu kuna ajali ya gari imetokea hapa kwa Kipara Tuangoma karibu na Stainley Toyota R4 T332DFG nyeusi imegonga mnazi imekatika vipande viwili chanzo speed kubwa akitokea Kongowe kwenda Kigamboni wamefanikiwa kumtoa dereva alikua peke yake yupo hoi muda huu miguu yote imekatika.
IMG-20220417-WA0357.jpg
 
Taarifa kama tulivyoipokea:

"Imetokea ajali mbaya sana eneo la Mwitikio kata ya Kiloli Sikonge iliyohusisha basi la Mkombozi na Sase Bosa zikifukuzana zikielekea Mbeya muda mfupi uliopita na watu kadhaa wamefariki dunia

Tunafatailia taarifa kamili

IMG-20220418-WA0258.jpg
IMG-20220418-WA0255.jpg
 
NAULI MPYA ZILIZOPANGWA NA SUMATRA ZA MABASI YA KWENDA MIKOANI KUTOKEA DAR: BEI ZOTE NI KWA SHILINGI YA TANZANIA.;

DAR - ARUSHA;

å Basi la kawaida 22,700/-.
å Semi luxury bus 32,800/-.
å Luxury bus 36,000/-

DAR - BABATI via ARUSHA;
å Basi la kawaida 29,000/-
å Semi luxury bus 41,800/-
å Luxury bus 45,900/-

DAR - BUKOBA via DODOMA;
å Basi la kawaida 55,100/-
å Semi luxury bus 77,300/-
å Luxury bus 85,000/-

DAR - DODOMA;
å Basi la kawaida 16,700/-
å Semi luxury bus 24,100/-
å Luxury bus 26,400/-

DAR - IRINGA;
å Basi la kawaida 18,300/-
å Semi luxury bus 26,300/-
å Luxury bus 28,900/-

DAR - KIGOMA;
å Basi la kawaida 58,800/-
å Semi luxury bus 80,900/-
å Luxury bus 88,900/-

DAR - LINDI;
å Basi la kawaida 17,800/-
å Semi luxury bus 24,400/-
å Luxury bus 26,800/-

DAR - MBEYA;
å Basi la kawaida 30,700/=
å Semi luxury bus 44,300/=
å Luxury bus 48,700/=

DAR - MOROGORO;
å Basi la kawaida 7,100/=,
å Semi luxury bus 10,300/=
å Luxury bus 11,300/=

DAR - MOSHI;
å Basi la kawaida 19,800/=,
å Semi luxury bus 28,500/=,
å Luxury bus 31,300/=

DAR - MTWARA:
å Basi la kawaida 21,500/=,
å Semi luxury bus 29,700/=,
å Luxury bus 32,600/=

DAR - MUSOMA kupitia DODOMA;
å Basi la kawaida 50,800/=,
å Semi luxury bus 73,200/=,
å Luxury bus 80,500/=

BAR - MWANZA kupitia DODOMA;
å Basi la kawaida 42,600/=,
å Semi luxury bus 61,400/=,
å Luxury bus 67,500/=

DAR - SHINYANGA;
å Basi la kawaida 36,600/=,
å Semi luxury bus 52,700/=
å Luxury bus 57,900/=

DAR - SINGIDA kupitia DODOMA;
å Basi la kawaida 25,500/=,
å Semi luxury bus 36,800/=,
å Luxury bus 40,400/=

DAR - SONGEA;
å Basi la kawaida 35,000/=,
å Semi luxury bus 50,600/=,
å Luxury bus 55,500/=

DAR - SUMBAWANGA;
å Basi la kawaida 45,100/=,
å Semi luxury bus 62,100/=,
å Luxury bus 68,200/=

DAR - TABORA;
å Basi la kawaida 39,000/=,
å Semi luxury bus 54,700/=,
å Luxury bus 60,100/=

DAR - TANGA;
å Basi la kawaida 12,800/=,
å Semi luxury bus 18,500/=,
å Luxury bus 20,300/=

DAR - KIBAHA;
å Basi la kawaida 1000/=,
å Semi luxury bus 1,500,
å Luxury bus 1,600/=
Hii taarifa siyo ya kweli mkuu!
 
AJALI YAUA POLISI NA MAHABUSU MWANZA

Watu wanne wakiwemo askari polisi wawili na mahabusu wawili - waliokuwa wakituhumiwa kwa makosa ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi pamoja na mauaji, wamepoteza maisha kwa ajali ya gari iliyotokea jana Jumatano jioni Aprili 27, 2022 katika Kijiji cha Ibanda barabara ya Geita-Sengerema.

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe amesema chanzo cha ajali hiyo ni gari la polisi aina ya Toyota Landcruise yenye namba za usajili PT 3798 lililokuwa likitokea mkoani Mwanza, kukata ‘sterling rod’ na kuhama kutoka upande wake na kwenda upande mwingine na kugongana na Lori aina ya Scania likiwa na tela namba. T.865 mali ya kampuni ya Nyanza Botling.

Ajali hiyo pia imejeruhi watu wanne na wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Geita huku miili ya askari hao wawili ikihifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa Bugando jijini Mwanza.

#AJaliYaGariGeita #PolisiWapataAjali #Ajali
 
Back
Top Bottom