Futota
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 521
- 88
Asante sana mkuu kwa majibu mahususi, sasa kidogo mwanga umeanza kuonekana mbele....
Clearing agent wangu ananidai ati USD 200 kwa gharama za Delivery order??? wakati ka gari kenyewe ni kadogo kwa engine 0.66litres.
Halafu ati handling charges kachanganya na storage charges....hivi kwa ka gari kadogo handling charges zinaweza kuwa kiasi gani?
Ingawa gari ilishakuwa inspected japan na kupitishwa ati hapa tena kuna gharama za TBS (tsh 25,000) yaani !!
ndio maana mkuu nakuja na maswali mengi namna hii
Shukran!
Clearing agent wangu ananidai ati USD 200 kwa gharama za Delivery order??? wakati ka gari kenyewe ni kadogo kwa engine 0.66litres.
Halafu ati handling charges kachanganya na storage charges....hivi kwa ka gari kadogo handling charges zinaweza kuwa kiasi gani?
Ingawa gari ilishakuwa inspected japan na kupitishwa ati hapa tena kuna gharama za TBS (tsh 25,000) yaani !!
ndio maana mkuu nakuja na maswali mengi namna hii
Shukran!
Futota,ni shughuli hasa espcly issue ya kodi nyingi gari yako ikifika...japo kwa ufupi...D/O ni paper itakayoruhusu mzigo wako kuwa released kutoka kwa shipper/dealer na kuhakiki kwamba mali imefika salama,...handling charges na d/o ni tofauti kama vinavyojieleza,hata hivyo visikupe tabu agent wako atadeal navyo muhimu ujue exact price ya kila service asije akakupiga! Kuhusu handling charges TPA ndo wanahusika nayo huwa wanatoa cargo service invoice ambayo humo utaona muda wako wa neema I.e grace period 7 days kwa gari yako kukaa kwenye yard za bandari kama gari yako ni suv inarange kati ya usd 150 /250 may be itategemea ni gari gani though! ......handling charges baada ya grace period kuisha muulize agent atakuambia ni ngumu kupata exact figure ya bei hapa but it's probably more than 5,000/_ / day...Gharama za ukaguzi wa tbs zipo ilipaswa uzilipe kwa dealer huko ulikonunulia kama ni Japan tbs wanafanya certification hukohuko na kukagua various issues ikiwemo mileage na road worthiness,likifika huku halijakaguliwa possibility ya gharama kuwa juu ni kubwa ukizingatia madafu cash yetu na penalties za tbs kwa kuimport gari isiyokaguliwa! .....sina uhakika na normal charge za inspection bila shaka haivuki $80 ...japo kwa ufupi ila bei halisi muulize agent,au laah! Tinga tra,tpa upate hakikisho la exact price agents wengine njaa kali hawachelewi kukupiga za uso...nikutakie mafanikio