masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Hili tatizo linaweza kuwa ni nini. Asubuhi ninapowasha gari kwa ajili ya kutoka,nikishaweka gia,D or R inategemea. Sass nikikanyaga acceleretor plate inachukua muda wa dk 2-3 ndio gari inachanganya na kuanza motion. Naombeni msaada wandugu. Gari ni TOYOTA CRESTA GX 100.
Hiyo maneno inaeza kuwa gear bix mbovu tayari ya kubadilisha
Hiyo maneno inaeza kuwa gear bix mbovu tayari ya kubadilisha
Za mda huu wadau nimeuliza zaidi ya mara 3 naomba kujua kuhusu pajero mini
Nina vitz nataka kushift kweny hyo gari
Ningependa mnisaidie kuhusu unywaj wa mafuta upatikanaji wa spea na pia mafundi wake wapo
Asanten sana
Mdau kwa hilo la namba ninekuwekea image ina maelezo kwa picha hope utaelewa.Habari wanaJF'
Naomba ushauri wenu kuhusu aina ya tairi gani nzuri na imara, na ufafanuzi zaidi kuhusu namba zinazokuwa pembezoni mwa matairi: mfano Saizi: 175 / 80 R16 91S, madala wake ni saizi ipi?
Mkuu.......umewahi kufanya service kwenye hiyo gear box.............?........
Wazee poleni na majukumu, nimenunua gari toyota allion cc 1490, milleage 57000km, ya mwaka 2002, engine VVTI.gari imefika mwezi wa 6 mwaka huu..tatzo la gari hii ni kutumia mafuta mengi, yaani inakwenda wastani wa 1lita per less than 7km, nilienda kwa fundi mmoja wa mtaani akaniambia nibadilishe plug. Nimebadilisha plug tena pale kariakoo lile duka la kisangani nimeweka plug original lakini bado gari linakunywa sana mafuta tofauti na.cc zake na situmii hata AC. tatizo jingne ni.gari kutokuwa na.nguvu wakati wa kupanda mwinuko mdogo tu.
Najua jamii forum naweza pata ushauri wa nini kufanya hapa. Asanteni sana ndugu
Mkuu........sijatumia Mitsubishi lakini......mmmmh.........kama pesa yako sio ya mawazo........ichukue........spea zake zipo juu kidogo na kama upo makini.......hizi gari zimeanza kutoweka mjini.........watu wengi wamezikimbia..........baki na vitz yako au ilishe vizuri ishibe ikuwe iwe IST.........
Aisee Geem nieleweshe vizuri hapa, oil nimemwaga mara moja, na hizi poston rings ndo enjector mozle au..nieleweahe vizuri hapa.maana mafundi wa.mtaa.kila.mtu anajibu lakeVipi engine oil inapungua mara kwa mara? yawezekana kabisa block ya engine ikawa imetanuka au piston rings zimekwisha na nadhani ndiyo maana mafuta yanatumika mengi kwa kuwa unaiendesha kwa kuilazimisha ikimbie kama awali kwahiyo mafuta yanakwenda mengi zaidi
Mdau kwa hilo la namba ninekuwekea image ina maelezo kwa picha hope utaelewa.
nashukuru kwa Uzi huu mzuri sana!
Swala langu ni kwamba nataka kuagiza gari toka Japan;FOB price yake inauzwa $723 Toyota progress ya mwaka 2000 mpaka inaingia nchini na kuclear kila kitu na TRA. itanitoka kama bei gn?;na unapoagiza gari ni vitu gani(fees) utatakiwa kulipa mpaka unapata gari yako?nauliza nipate japo mwanga coz sina uzoefu na sijawahi kuagiza gari kabla;najua wako wataalamu humu wanafahamu so naombeni kujuzwa.
Nawakilisha;Ahsanteni