...Asante sana mkuu kwa image! Sasa Nimeelewa maana ya hizo namba za pembezoni.
NB: Naomba ushauri: "gari ninayotumia ilikuja (imported from JP) na matairi yenye namba / saizi 175 / 80 / R16. Nimeenda Dukani kuulizia mpya wakaniambia kuwa hiyo saizi hawana, wakashauri kuwa ninaweza kuweka tairi yenye namba hizi: 215 / 70 / R16, Je hiyo saizi inakubalika kwenye RIM AMBAYO IMEKUJA NA TAIRI YENYE NAMBA 175/80/R16 ?"
Natanguliza shukurani.
Za mda huu wadau nimeuliza zaidi ya mara 3 naomba kujua kuhusu pajero mini
Nina vitz nataka kushift kweny hyo gari
Ningependa mnisaidie kuhusu unywaj wa mafuta upatikanaji wa spea na pia mafundi wake wapo
Asanten sana
Hapo haina noma kama hakuna saizi hiyo..kinachobadilika hapo ni upana wa tairi utakuwa mkubwa kidogo ila aspect ratio itapungua na rim size ni ile ile
Jamani naombeni msaada juu ya Nissan March uimara wake, spea pamoja na ulaji wa mafuta maana nataka kuiagiza nimeipenda sana ila naogopa kuna watu wanadai spea zake hazipatikani na ni ghali sana, nataka kupata ukweli
Kitendo cha kutamka tu Nissan........kimenifanya nipate mawazo.........mbona Vitz na passo ni nzuri tu.......
hapa nataka kukueleza kuwa.........Toyota ni Friendly kwa watanzania ikifuatiwa na Suzuki............waliobaki hawataki mazoea na sisi...........
Aisee Geem nieleweshe vizuri hapa, oil nimemwaga mara moja, na hizi poston rings ndo enjector mozle au..nieleweahe vizuri hapa.maana mafundi wa.mtaa.kila.mtu anajibu lake
Asante nimekuelewa, lakn nataka kujua tatizo lake hasa ni nini? Nimetokea kuipenda tu hii gari.
Tatizo la Nissan ni spea.........ila kama hilo sio tatizo kwako.......why not bana..........kanaonekana ni kagumu na kanahimili vishindo...........
Tatizo la Nissan ni spea.........ila kama hilo sio tatizo kwako.......why not bana..........kanaonekana ni kagumu na kanahimili vishindo...........
mkuu spare tatizo kivipi??
kwani yupo wapi mpaka anakuwa na hofu na spea za nissan??
sema kama amezoea toyota huku lazima ataona kuwa anaonewa maana bei ya spea imesimama sana.ila uziri wake ni original ukifunga uhakika 100%
Aisee hiyo ni gearbox hydraulic filter imechoka au imejaa uchafu hivyo inachelewa kuingia kwenye mzunguko wa gearing system
Wakuu, nampango wa kuagiza Toyota Voltz... Mwenye uzoefu wa hii gari naomba ushauri.