Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
...Asante sana mkuu kwa image! Sasa Nimeelewa maana ya hizo namba za pembezoni.
NB: Naomba ushauri: "gari ninayotumia ilikuja (imported from JP) na matairi yenye namba / saizi 175 / 80 / R16. Nimeenda Dukani kuulizia mpya wakaniambia kuwa hiyo saizi hawana, wakashauri kuwa ninaweza kuweka tairi yenye namba hizi: 215 / 70 / R16, Je hiyo saizi inakubalika kwenye RIM AMBAYO IMEKUJA NA TAIRI YENYE NAMBA 175/80/R16 ?"
Natanguliza shukurani.
Hapo haina noma kama hakuna saizi hiyo..kinachobadilika hapo ni upana wa tairi utakuwa mkubwa kidogo ila aspect ratio itapungua na rim size ni ile ile