Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali


Most likely ni baterry kwakuwa hujawahi kubadili tangu gari iingie nchini na huwezi jua huko ilikotoka ilitumika muda gani
 
Last edited by a moderator:
Most likely ni baterry kwakuwa hujawahi kubadili tangu gari iingie nchini na huwezi jua huko ilikotoka ilitumika muda gani

Na mimi nahisi ni batri cozi nimeitumia for almost 5 years ikifanya kazi vizuri tu. Vipi betri zake zinapatikana ktk maduka ya spea za magari au?
 
Best unatumia gari miaka mi5? Umefunga nalo ndoa au?
Teh Teh

Hahaa best umenibamba kiutamu!! ujue imebidi nicheke kwanza!!

Nilinunua almost brand new best, lilikuwa na registration ya only 1 year long, mileage below 10,000KM, hata leo ukiliona huwezi amini, liko njema balaa, na bado sina mpango wa kuliuza, hadi lifike age limit iliyotajwa na TRA (8-10 yrs)
 
Basi wewe mtunzaji mzuri eeh? Hongera kwa hilo.
Angalia lakini lisije kosa hata nusu ya ile pesa uliyonunulia baada ya hiyo age limit.

Halafu mbona kama unafichaficha kusema ni gari gani?
Ni Range Rover nini?
 
Basi wewe mtunzaji mzuri eeh? Hongera kwa hilo.
Angalia lakini lisije kosa hata nusu ya ile pesa uliyonunulia baada ya hiyo age limit.

Halafu mbona kama unafichaficha kusema ni gari gani?
Ni Range Rover nini?

Hahaaa we best weweeee kwa uchokonozi hujambo, khaaa!!! naomba nisitaje bana

Yes kuhusu utunzaji, ni kweli mi mtunzaji, ila pia halina mizunguko mirefu ya kuchosha gari, halina shuruba kwa kweli, ni mizunguko kama ile ya magari ya wahindi walio wengi
 
Na mimi nahisi ni batri cozi nimeitumia for almost 5 years ikifanya kazi vizuri tu. Vipi betri zake zinapatikana ktk maduka ya spea za magari au?

Zinapatikana sehemu nyingi pia ila vizuri uchague genuine
 
Naomba kujua ka saloon car kakizamani ambacho ni kigumu(roho ya paka) kwa ajili ya matumizi ya nyumbani ni ipi nzuri???
 

Duu Preta kuna maeneo karibia unakaribia kutupiku
 
Last edited by a moderator:
Habari wana JM,
mwenye uzoefu na magari naomba anifahamishe gharama zifuatazo:
1.service ya gari(aanze na gearbox n engine) na nyingine pia
2.Fire extinguisher
3.Triangle
4.ushauri wa insurance

Aina ya gari ni mazda 2005/7.used kutoka Japan

Ahsanteni.
 

Gari ya aina gani boss..
 


mazda demio 2005/7



1. Engine oil BP sh 60,000/- oil filta ya kawaida sh 10,000/- Gia boxi oil BP sh 80000 service charge sh 15000/-.

2. Fire extinguisha 1kg sh 20,000 hadi 25,000 pale mileniam tawa kwa nje

3. Triangle 2 sh 8000

4. Bima kwa gari ya 10mil comprehensive sh 300,000 ila naskia siku hizi wameongeza na vat so andaa sh 400,000. Ila kwa magari used haya ya kijapani huwa tunaweka third party (kama wewe ni dereva mzoefu na sio Lena) sh 100,000 may be plus vat 118000.
 
kwa mfano kwa dar es salaam wanapatikana wapi hao wawakilishi wa landrover freelander?na je pia hapo naweza kupata mafundi wa uhakika?maana ilizima tu ma kuanzi hapo haijawaka ipo tu.

nenda CMC, opposite Maktaba kuu ya taifa
 
Wadugu...naomba kujua....nahitaji kujiunga na chama cha waendesha passo mjini...sasa kuna za cc990...cc 1000 na cc 1290....naomba msaada wa kujuzwa injin ipi bora katika hizi??! Asante
 
Wadau nina shida kwenye Toyota Altezza, gari inatembea fresh ila unapokanyaga mafuta na RPM inapofika 2(2000 rpm) au karibu na hapo naskia gari inakuwa inatoa muungurumo nisiouelewa....Yani inakuwa something like gari ina mafua, na pia huwa inatokea ninapopanda milima nikiwa kwenye iyo RPM...Plus inaposhift kutoka gear no 1 kwenda 2, inakuwa kama inakita.....nimebadili Plugs mara 3 lakini naona hali ni ile ile...Gari ni Toyota Altezza, Engine ni 4 cylinders YAMAHA 3S,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…