Tindi
Member
- Apr 3, 2012
- 73
- 41
Asante ila kwa sasa nikp dodoma..ningejua brand gani zina ubora huo nimunue huku. Tindi
Kuna njia mbili ya kwanza, jaribu kidia general spares kama hana muagizie mtu akununulie hapa dar. Ila kwa ushauri wangu gear box oil ndio uhai halisi wa gari yako. Ukikosea kuweka oil ambayo siyo sahihi basi matatizo ya gari hayatakwisha
Last edited by a moderator: