Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Asante ila kwa sasa nikp dodoma..ningejua brand gani zina ubora huo nimunue huku. Tindi

Kuna njia mbili ya kwanza, jaribu kidia general spares kama hana muagizie mtu akununulie hapa dar. Ila kwa ushauri wangu gear box oil ndio uhai halisi wa gari yako. Ukikosea kuweka oil ambayo siyo sahihi basi matatizo ya gari hayatakwisha
 
Last edited by a moderator:
Kuna njia mbili ya kwanza, jaribu kidia general spares kama hana muagizie mtu akununulie hapa dar. Ila kwa ushauri wangu gear box oil ndio uhai halisi wa gari yako. Ukikosea kuweka oil ambayo siyo sahihi basi matatizo ya gari hayatakwisha

Pamojaaa.
 
Naombeni kujuzwa madhara ya kupark gari muda mrefu pasipo kutumika zaidi ya miezi nane. Na nifanye nini ili hayo madhara yasiwe makubwa sana kwa gari.?!
 
Nina tatizo naomba mnisaidie.
Leo asbh wakati nataka kuwasha gari nimeweka Switch on haijaonyesha kitu.Baada ya muda kama dk 3 hv ndio ikaanza kuonesha switch on ila ikiwa imefifia.Baada ya dk 2 Nikaweka switch off, halafu nikaweka tena Switch on ndio nikaona imekubali ikiwa na full charge na gari likawaka.Nika anza safari ila nikiwa njiani ghafla nikaona gari limezima na dash board ikawa haioneshi kitu. nikapaki pembeni kabla hata sijafungua Boneti nikashangaa imeonesha switch on na nikapiga gari likawaka.
Naomba umnisaidie linaweza kuwa ni tatizo gani hilo??
Gari yangu ni premio New model ya 2003.
 

Nina mashaka.na either loose connection or battery down...
 
Hata mm nadhani itakuwa loose connection ila sio Bettry down.Na kwenye Teminal vichwa vyote vya positive na Negative vimekaza vizuri japo asbh niligusa kile kichwa cha positive nikaona kama kinapata moto.Wajuzi wa umeme wa magari naombeni msaada wenu.
 
Wakuu mi nina tatizo hivi,gari yangu sijui ina tatizo gani maana nikitembea umbali fulani kwenye odometer/speedometer haionyeshi umbali sahihi kama unavyojulikana.

KWA MFANO
umbali toka Dar mpaka chalinze ni km 109 hii inajulikana lakini mi nikienda mpaka chalinze umbali hausomi 109km badala yake itasoma kama 97km na hapo safari yangu imeanzia Mbagala kuu maeneo ya mgeni nani.
Je hii hali usababishwa na nini?
 

Inaweza ikawa sawa tuu gari yako.Kwani ww unajua hizo 109km za Chalinze zomepimwa kutokea wapi??Inaweza ikawa ni kutoka posta au kkoo na wala sio Ubungo.Maana mm mwenyewe huwa nafuta km kutokea Sinza ila nikifika Morogoro Msamvu inasoma Km zizisizofika hata 180km wakati vibao vinasema Dar moro ni 193km
 
Habari Jamii,

Ni vitu gani vya msingi vya kuvicheki kwenye gari kabla ya kununua gari kutoka kwa mtu ? Na utaratibu gani natakiwa niufwate kabla sijanunia gari hilo?Nina mpango wa kununua Raum kutoka kwa mtu. Na je hili gari lina sifa gani nzuri na mbaya?

Asante

Atupele
 
Kuna uzi hapa tena umekuwa "stick" una kila kitu kuhusu hayo magari nakushauri uutafute utakusaidia mengi.
 

Shukrani sana mkuu,angalau umenitoa hofu sana.mimi nina tabia ya kufuta kilometer kila ninapoanza safari.
Lakini kila nikimaliza safari naona km zipo pungufu tofauti na inavyojulikana.
 
Habari ya jumapil..
Napenda kutaka kujua kuhusu toyota ipsum.Hasa katika fuel consuption,,
uzuri na ubaya wa hili gari. Upatikanaji wa spare zake n.k
 

Habari ya jumapil..
Napenda kutaka kujua kuhusu toyota ipsum.Hasa katika fuel consuption,,
uzuri na ubaya wa hili gari. Upatikanaji wa spare zake n.k
 
Habari ya jumapil..
Napenda kutaka kujua kuhusu toyota ipsum.Hasa katika fuel consuption,,
uzuri na ubaya wa hili gari. Upatikanaji wa spare zake n.k

Habari ya jumapil..
Napenda kutaka kujua kuhusu toyota ipsum.Hasa katika fuel consuption,,
uzuri na ubaya wa hili gari. Upatikanaji wa spare zake n.k

Za old model ni vimeo fulani hivi kwa hapa kwetu new model ziko vizuri ila zinakunywa mafuta kutokana na ukubwa wake wa engine
 
Za old model ni vimeo fulani hivi kwa hapa kwetu new model ziko vizuri ila zinakunywa mafuta kutokana na ukubwa wake wa engine

Asante.. nilikua nazipenda kwa sababu zina seats za kutosha.
Vip alternative ni gari gan..ambayo nayo.ina seats 7
 
Asante.. nilikua nazipenda kwa sababu zina seats za kutosha.
Vip alternative ni gari gan..ambayo nayo.ina seats 7

Gari nyingi hizi za kisasa kwa uimara sio kivile hizo Ipsum Uganda ni nyingi sana waweza ichukua lakini uitunze la sivyo Toyota wish lakini nayo haitofautiani sana na ipsum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…