Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

wadau naomba msaada kabla sijafanya maamuzi haya.Natamani kununua gari aina ya Honda CRV ila sijui km ni kimeo au lah.tafadhali km unalijua vizuri ama ulisha tumia ama unatumia maeneo muhimu ni spare parts na fuel consumption .
 
wadau naomba msaada kabla sijafanya maamuzi haya.Natamani kununua gari aina ya Honda CRV ila sijui km ni kimeo au lah.tafadhali km unalijua vizuri ama ulisha tumia ama unatumia maeneo muhimu ni spare parts na fuel consumption .

Nzuri sana hasa ukipata RD5, inakamata road vizuri ngumu fuel consuption ni nzuri ndani kuna nafasi ya kutosha pia
 
Kwa gari ndogo ila kwa four wheel ni 35/40

Kwa nini kwenye uwekaji wa upepo mbele unawekwa mdogo nyuma mwingi, ukizingatia mbele ndio kuna mzigo mkubwa wa engine na gear box?

Pia kwa nini kwenye 4W uwekwe 35/40, ina maana uwekaji upepo wa gari za 4W na 2W ni tofauti?

Mi natumia gari yenye full time 4WD, na mara nyingi naweka upepo sawa 30 au 35 kwa tairi zote.
 
Mwenye uelewa wa Suzuki jimmy tafadhari kuna mtu anataka kununua..vipi ubora wake kwa wenye uzoefu tafadhari....
 

Pressure mbele ni kubwa kuliko nyuma ndio maana upepo wa mbele inabidi uwe pungufu kwakuwa tyres zikipata moto kuna some expansion kwenye tyres

Ukubwa wa gari Hu determine kiwango cha upepo kwa mfano upepo wa pickup ni tofauti kabisa na wa semi trailer

Kwa gari yako standard ni 35/40 lakini pia angalia tairi unazotumia
 
Mshana; gari yangu Mitsubishi lancer, tatizo la kutokuwa na nguvu hadi Gari Ipate momentum ya kutosha...je ni tatizo; cc 1598: automatic, speed 220; rpm 8
 
Mshana; gari yangu Mitsubishi lancer, tatizo la kutokuwa na nguvu hadi Gari Ipate momentum ya kutosha...je ni tatizo; cc 1598: automatic, speed 220; rpm 8

Ulishawahi kufanya gearbox service? Achana na kubadili hydraulic kuna service ya gearbox
Most likely tatizo litakuwa hapo
 
Hahaha ndo maana wanakushangaaa kaka haikiwa designed kwa miguu miwili ndo.maana kuna foot rest pale.. sema ni namna ulivyotune ubongo wako
Ni kweli haikuwa designed kutumia miguu yote miwili lakini kama utajaribu na ukazoea nakuhakikishia hutoacha kutumia miguu yote miwili unapoendesha hasa maeneo ya mjini ambapo magari ni mengi na vurugu kibao barabarani, kuchomekeana n.k. Ni kama anavyosema Mshana utaepuka ajali kibao.
 
Mshana; gari yangu Mitsubishi lancer, tatizo la kutokuwa na nguvu hadi Gari Ipate momentum ya kutosha...je ni tatizo; cc 1598: automatic, speed 220; rpm 8
Kuna jamaa yangu ana Rav4 alikuwa na case inayotaka kufanana na yako, ya kwake ilikuwa inaishia speed 80-90km/h hata akanyage vipi mafuta. Kuna fundi alimtengenezea kwa kuyaondoa mavitu flani kwenye muffler wanayaita jina kama "masega" yalikuwa yameanza kuziba.
 

Asante, ngoja nijaribu pia hiyo njia, maana gari inakuwa nzito sana unapoiamsha popote ili ianze kutembea.....then ikichanganya inaenda safi utapanda kila minuko wenye barabara.
 
Ulishawahi kufanya gearbox service? Achana na kubadili hydraulic kuna service ya gearbox
Most likely tatizo litakuwa hapo

Poa Mshana, nikipeleka service mara nyingi wanabadili Hydraulic tu nadhani.
 
kama kuna group la whasap kuhusu magari niungeni tafadhari ili tuwe tunapata akili humo...0754734009
 
Mkuu Mshana jr na mwingine yoyote anayejua/aliye na contacts za wataalam wa kufanya service ya mabasi ya zhong tong kwa hapa nchini nisaidieni. Kuna jamaa yangu yupo nje ya Nchi anahitaji na mimi sina ufahamu wa hayo mambo, msaada.
 
Mkuu Mshana jr na mwingine yoyote anayejua/aliye na contacts za wataalam wa kufanya service ya mabasi ya zhong tong kwa hapa nchini nisaidieni. Kuna jamaa yangu yupo nje ya Nchi anahitaji na mimi sina ufahamu wa hayo mambo, msaada.

Shekilango Double star garage
 
Please mshana jr, do me simple favour...huyu jamaa yupo nje ya nchi, Botswana, anahitaji contacts awasiliane na hao mafundi.

Duu ni wachina wale wenye mabus ya New force pale shekilango nitajitahidi kupata contact zao lakini nawe fanya juhudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…