Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Fielder ni gari ngumu na kwakuwa tayari unatumia corrola van basi fielder itakufaa sana kwa kila kitu

kaka naomba kukuuliza... kuhusu suzuki samurai, hizi gari ni fulltime 4wd, je kuna uwezekano wa ku ifanya iwe two wheel tu.., inakuaga na shida gani gani hasa..
consumption ption yake ikoje? ni cc 1290 ila nahisi ilo suala la kua 4wd fulltime linaweza badilisha consumption.
 

Du kwa hiki kimeo changu cha 2001 inamaana airbag hamna kitu,basi kwa tunaotumia used cars tutaumia wengi.
 
Ngoja nimuite fundi wa kitengo cha engine...... Mshana Jr.......mimi kitengo changu ni shokomzoba na brake pads........

Ok ukipata mtu anashida ya plate number inamsumbua nishitue....
 
Last edited by a moderator:
Leo Rav 4 yangu ACA 21 Kilitime imenifanyia vituko,nikianza kuondoka gari inasita kama vile iko kwenye handbrake lakini sivyo na baadaye inakurupika.Kila unapotaka kuongeza mwendo gari inakuwa nzito sana,naombeni ushauri!
 
Leo Rav 4 yangu ACA 21 Kilitime imenifanyia vituko,nikianza kuondoka gari inasita kama vile iko kwenye handbrake lakini sivyo na baadaye inakurupika.Kila unapotaka kuongeza mwendo gari inakuwa nzito sana,naombeni ushauri!

Endapo gari lako halina miss ya engine wakati liko neutral nadhani hilo litakuwa ni tatizo la gearbox.
Utakuwa hujabadilisha hydraulic fluid kwa muda mrefu au unatumia iliyochini ya kiwango na hivyo ama iko pungufu, imechoka sana au uchafu kujaa na kushindwa kufanya kazi ipasavyo.
Tafadhali mwone fundi haraka iwezekanavyo
 
Ok ukipata mtu anashida ya plate number inamsumbua nishitue....

Halafu kama kipindi hiki cha mvua ndio zinasumbua sana.........bora mtu aweke kipande cha godoro..........
 
Leo Rav 4 yangu ACA 21 Kilitime imenifanyia vituko,nikianza kuondoka gari inasita kama vile iko kwenye handbrake lakini sivyo na baadaye inakurupika.Kila unapotaka kuongeza mwendo gari inakuwa nzito sana,naombeni ushauri!

Fundi mkuu wa engine Mshana Jr........ kuna li D4 linasumbua hapa.......hebu fanya analysis...........
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…