Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Wakuu kwa anaejua bei ya TOYOTA Verossa kuagiza japan na gharama zote za hapa nchini kwetu naomba anijuze nianze mchakato fasta
 
Not less than usd22,600
mkuu inayotembea sisi wengine tunapenda vizur usawa mdogo budget ya around mil 6 inayotembea inapatikana ? ni yapi madhara yake na faida yake? Tafadhari ushauri nilikiipata nizingatie nini?

Ni vizur ku reply ili nione majibu ansanteni wakuu

 
Fundi mkuu wa engine Mshana Jr........ kuna li D4 linasumbua hapa.......hebu fanya analysis...........

Kaka Gear Box yake masaa yake yamekwisha waone wataalam wa adjust au utafute nyingine kwani hizo ni miongoni mwa zile zilizoitishwa kwa Ulaya na Amerika. Pole sana.
 
Last edited by a moderator:
Leo Rav 4 yangu ACA 21 Kilitime imenifanyia vituko,nikianza kuondoka gari inasita kama vile iko kwenye handbrake lakini sivyo na baadaye inakurupika.Kila unapotaka kuongeza mwendo gari inakuwa nzito sana,naombeni ushauri!

Hizi ndio zile zilizoitshwa Ulaya kutokana na matatizo yake kwenye Gear Box Waone mafundi wakufanyie Adjustment
 
mkuu inayotembea sisi wengine tunapenda vizur usawa mdogo budget ya around mil 6 inayotembea inapatikana ? ni yapi madhara yake na faida yake? Tafadhari ushauri nilikiipata nizingatie nini?

Ni vizur ku reply ili nione majibu ansanteni wakuu


Kwanza tuelewe.......unapenda gari gani......Ili usaidiwe.......maana sasa unapouliza madhara na faida......unakua unamaanisha nini......?......unachanganya mambo sana ujue.......
 
Kwanza tuelewe.......unapenda gari gani......Ili usaidiwe.......maana sasa unapouliza madhara na faida......unakua unamaanisha nini......?......unachanganya mambo sana ujue.......

anijibu alielewa, mkuu wew mhindiii niniii huelewi?
 



Inaweza kuwa kweli, sijawahi kubadilisha nilishasoma kwenye kichwa cha dipstick ya gearbox hydraulic pameandikwa "Do not change under normal operation"
 
Inaweza kuwa kweli, sijawahi kubadilisha nilishasoma kwenye kichwa cha dipstick ya gearbox hydraulic pameandikwa "Do not change under normal operation"

Normal operation ya huko kwao na huku kwetu ni tofauti sana boss.
Pia Barabara zao, hali ya hewa na aina za matumizi zinatofautiana sana.
Kamwone mtaalam aisafishe gearbox sump na kukuwekea hydraulic safi ya aina ile ile iliyoandikwa kwenye hiyo dip stick.
 
Nisaidieni wadau jinsi ya kuwa naweka mafuta kwenye gari pale sheli kwa kutumia kadi nataka niachane na hii tabia ya kutoa pesa mfukoni
 
Piga 0786999291 au 0786999549 TOTAL TANZANIA UTAPEWA MAELEZO
 
Ni namba za mkononi za wadau wa TOTAL. Hiyo ya pili ni yangu, ya kwanza ya coleague
 
Kaka Gear Box yake masaa yake yamekwisha waone wataalam wa adjust au utafute nyingine kwani hizo ni miongoni mwa zile zilizoitishwa kwa Ulaya na Amerika. Pole sana.

Hizo kilitime model ipi nzuri mbali ya hizo zilizo kataliwa ulaya
 
Hizo kilitime model ipi nzuri mbali ya hizo zilizo kataliwa ulaya

Tafuta yenye engine ya 1ZZ......hizi huwa ni vvti..........ni za mwaka 2000-2005 nadhani........
 
Tafuta yenye engine ya 1ZZ......hizi huwa ni vvti..........ni za mwaka 2000-2005 nadhani........

Nimeitafuta sana hii thread maana nilipoteza kipindi kile cha campaign, Ahsante nimeiona tena iko hewani Preta Ahsante kwa ushauri wako mzuri unaotoa humu ndani pamoja na wengine kina mshana jr
 
Last edited by a moderator:
Fundi mkuu wa engine Mshana Jr........ kuna li D4 linasumbua hapa.......hebu fanya analysis...........

Halafu mafundi wa Tz kwanini hamzipendi engine za D4, mpaka mmeaminisha watu wote waamini kuwa engines hizi ni mbaya na hazifai:sly:

Mm nilikuwa na D4 nimeendesha 4yrs engine haikuwahi kunisumbua hata kidogo, kimbembe kilikuja wakati nataka kuiuza, mteja unafika nae bei, akiulizia aina ya engine, ukishamwambia ni D4 basi biashara inaishia hapo!
mshana jr hizi engine zina shida gani???
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…