Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Asante, namanisha injini used kutoka japani, vipi tofauti ya gharama injini nyingine au overall, kwa sababu nimemuuliza fundi akaniambia kama ni overall niandae kama laki 7,
 
Asante, namanisha injini used kutoka japani, vipi tofauti ya gharama injini nyingine au overall, kwa sababu nimemuuliza fundi akaniambia kama ni overall niandae kama laki 7,

mkuu kwa kuwa unatumia mtandao sio mbaya sana ukiichek Japan wanauzaje hiyo engine??
 
Sory hizi batan zimeandikwa down upande wa kulia na kushoto kwenye usukani sa sijajua zinamanisha nn ?

kama wameandika down basi ni - inamaana hapo nikupangua gear na up + kuongeza gear. kama juu wameandika down basi chini/nyuma ya sterling kutakuwa na UP
 
Mkuu Mimi naomba kufahamu ufanyaji kazi wa S, naona hapa kwenye D kuna S kulia kwake, kwakweli sielewi wapi napaswa kuitumia.

mkuu ufanyaji kazi wa hapo kwenye S ni kama kwenye M tuu.

S sport mode.

kama gear rever utaiweka hapo inamaana Gari yako haitabadili gear automatic but manually.

ukiangalia kwenye hiyo S juu yake kuna + na chini yake kuna -

+
S
-
inamaana hapo ukiweka hapo Gari itakuwa kwenye gear namba 1 tuu ukiendesha Gari ukitaka kuingiza gaer ya pili unaisukuma gear rever kidogo tuu kwenye + na utasikia ina shift na kwenye range za gear kwenye dashboard utaona imwbadilika na kuwa 2 utaendelea kuendesha na kuongeza gear na ukitaka kupunguza gear hapo utasukuma nyuma gear revel mpaka kwenye alama ya -.inamaana hapo inakuwa unaendesha manually.

na Gari nyingi ukikuta kwenye gear rever papo hivyo basi kwenye stealing hakuna batton
 

Asante LEGE maelezo yamejitosheleza
 
Last edited by a moderator:

Hata ukiacha haina shida kule kwa wenzetu unaweza kuamka asubuhi gari yote imekakamaa kwa baridi kali ya barafu hapo ndio themostart hutakiwa kufanya kazi yake
 
Hata ukiacha haina shida kule kwa wenzetu unaweza kuamka asubuhi gari yote imekakamaa kwa baridi kali ya barafu hapo ndio themostart hutakiwa kufanya kazi yake

mkuu hiyo haitakiwi kutolewa hata huku kwetu.

na mafundi wengi wa bongo huwa wanazitoa sana na kusema huku kwetu kuna joto hivyo hazina kazi.
sio kweli thermoster haitakiwi kutolewa mkuu na jambo jingine ambalo unaweza ukaona Gari yako inakula mafuta na kutokuwa na nguvu vizuri basi ukitoa hiyo kitu.na kuna baadhi ya Gari ukitoa Gari inakuwa haieleweki inakuwa kama I me hang any I kiwi flani hivi inakuwa na kimiss kisichoeleweka.

vile vile engine huwa inachoka sana na kuwa huwa inajaa sana carbon kwa ndani.kama utafahamu vizuri kazi ya ECT au THW basi bila shaka husisha na thermoster utaungana na mm.

kama Gari inachemsha shugulikia suala la kuchemsha na sio kutoa thermosterter.
 

Kama gari yako unatumia mjini tu na kwa nadra safari ndefu huna haja ya kuitoa. Ila kama unasafiri safari ndefu mara kwa mara nakushauri uitoe kwani madhara yake ni makubwa, unaweza hata kupasua rejeta, n.k
 
Waungwana naomba ushauri wenu kuhusu toyota vista....nataka kumvua mtu,,,,
 
Napenda kuuliza, natumia gari aina ya corona injini 5A, injini imeshachoka je! ni bora kufanya kipi, ovaholi au kununua injini nyingine? Na gharama inakuwaje kununu injini coz overall fundi ameniambia nitafute kama laki 7
 
Wadau kama kuna mtu anauzoefu na hizi Toyota Tactis, naona imenivutia, je nichukue au pasua kichwa #mshana jr
 
Napenda kuuliza, natumia gari aina ya corona injini 5A, injini imeshachoka je! ni bora kufanya kipi, ovaholi au kununua injini nyingine? Na gharama inakuwaje kununu injini coz overall fundi ameniambia nitafute kama laki 7

Nunua engine ingine haiwezi kuzidi 1.5m......usije kujaribu ku overhaul engine utajisumbua na utatumia hekla nyingi
 
Wakuu,

Mwenye utaalamu na magari anisaidie ni model gani ya gari imara, inakula mafuta kidogo na inauzwa bei nafuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…